Ni Nani aliyelimdanganya kijana wa Kitanzania kwamba Serikali ina wajibu wa kumletea mafanikio ya Kiuchumi?!

Restless Hustler

JF-Expert Member
Apr 9, 2017
4,739
17,956
Nitangaze mapema kwamba

1. Mimi ni graduate na ni jobless kama walivyo vijana wengi
2. Mimi Sina chama chechote na siyo msenaji wa yeyote.

Lakini najiuliza sana Hawa wahindi na wazungu waliohamia kutoka nje na kuwawekea watoto wao misingi ya mafanikio na Sasa wengi wa watoto wao under 35 ambao wengi wao ni wazaliwa wa Tanzania wanakula butter, je, sera za siasa za Tanzania hazikuwaathiri wazazi wao kuwaandalia watoto wao maisha?! Hapa utafahamu kwamba asilimia kubwa ya ugumu wa kiuchumi tulionao ni makosa ya wazazi kutokuwekeza kwaajili yetu.

Unaweza kusema Tanzania ina masikini wengi. OffCourse Kila nchi Ina asilimia flani ya wananchi walio kwenye Hali ngumu kiuchumi na wimbi kubwa la ukosefu wa ajira. hao walio kwenye Hali Mbaya wanapaswa kusaidiwa na serikali Yao of which hata hapa Tanzania tunaoma juhudi za serikali kupitia TASAF na mikopo isiyo na riba kupitia halmashauri mbali mbali.

Lakini je Hawa ambao hawapo kwenye mkwamo mkubwa, kwanini Kila unayemkuta Hana direction anatoa sababu kwamba Serikali inamkwamisha?!

Unaweza kusema Tanzania ina teknolojia ya chini, lakini je, Hawa wasomi wa sayansi waliosheheni katika nchi Wana kazi gani na ikiwa wao ni wanasayansi wa kweli kwanini wanakimbilia kwenye siasa

Wengi watasema mtaji, je serikali itupe mitaji ya bure nchi nzima?! Lakini Ujue hata kama wafadhili wakija kabla ya kukusaidia, wanataka uwaonyeshe Vision & mchanguo wa matumizi endelevu ya rasilimali endapo ukikabidhiwa, hapo napo ni changamoto maana unakuta kijana anayelalamika throughout Hana Vision, which means hata akipa mtaji wa ghafla utaishia tu kwenye matumizi mabaya kwa sababu vision ndiyo Kila kitu katika safari ya mafanikio.

Japo serikali Ina mchango mkubwa katika ku soften utekelezaji wa maono ya vijana lakini sioni sababu ya msingi kuilaumu kuanzia asubuhi Hadi jioni, mchana na usiku. Binafsi nilimaliza college Mwaka Jana nikaingia kitaa kupiga kazi za zege na vibarua vya mashambani plus boom nililobakizaga na Sasa ni msimu wa kilimo naingia katika kilimo.

Maisha yangu hayamtegemei bibi Hangaya Wala dada Tulia ili yaende. Nilijiwekea vision kwamba ifikapo 2031 in any how kuwepameeleweka.

In God we Trust
 
Ni nani? Alie wadanganya Viongozi watanzania kuwa mwanasiasa Lazima uwe TAJIRI , na Kwa nini? Wanang'ang'ania madarakani KWA nguvu kama hawana masirahi Napo wapishe na wengine Sasa mbona wako radhi wawafunge wengine Ili wao wapumue KWA aman

Ukwel ni kwamba vijana wanapambana Sana ila walio shikilia Fursa au kutangulia hawataki kuonyesha njia wakiogopa competition na kupoteza Fursa zao mbeleni maana hawajui watafanya nn baada

Mbili SERIKALI kila siku imekalia Kusema vijana wajiajiri Hadi Viongozi vjana nao wanasema tujiajiri Sasa kwann wao wasitoke waachie nafasi zao sababu mitaji, connection, experience wanavyo Ili watuonyeshe KWA vitendo wanamaanisha nini?

SIO TU KUKAAA KUSUBIRI POSHO NA KUSEMA VIJANA WAJIAJIRI
 
Wanasiasa hao inabidi waache kutoa ahadi za uongo wakati wa kuomba kura.
 
Serikali haina jukumu la kumpa ulaji kijana ila Serikali ina jukumu la kufanikisha mafanikio ya Wananchi wake including vijana.

Ukiona Serikali inajitoa katika kutengeneza ajira kwa Wananchi wake hiyo ni failure kubwa.
 
Hongera hata Bakhresa alianza kama fundi viatu😊
Kijana hajui analo ongea... Yes anajitahidi kupambana out of poverty kwa njia zake mwenyewe na hongera kwake. Ila kwa hali ya ajira ilivyo sasa Serikali ni 100% responsible.
 
Nitangaze mapema kwamba
1. Mimi ni graduate na ni jobless kama walivyo vijana wengi
2. Mimi Sina chama chechote na siyo msenaji wa yeyote.

Lakini najiuliza sana Hawa wahindi na wazungu waliohamia kutoka nje na kuwawekea watoto wao misingi ya mafanikio na Sasa wengi wa watoto wao under 35 ambao wengi wao ni wazaliwa wa Tanzania wanakula butter, je, sera za siasa za Tanzania hazikuwaathiri wazazi wao kuwaandalia watoto wao maisha?! Hapa utafahamu kwamba asilimia kubwa ya ugumu wa kiuchumi tulionao ni makosa ya wazazi kutokuwekeza kwaajili yetu.

Unaweza kusema Tanzania ina masikini wengi. OffCourse Kila nchi Ina asilimia flani ya wananchi walio kwenye Hali ngumu kiuchumi na wimbi kubwa la ukosefu wa ajira. hao walio kwenye Hali Mbaya wanapaswa kusaidiwa na serikali Yao of which hata hapa Tanzania tunaoma juhudi za serikali kupitia TASAF na mikopo isiyo na riba kupitia halmashauri mbali mbali. Lakini je Hawa ambao hawapo kwenye mkwamo mkubwa, kwanini Kila unayemkuta Hana direction anatoa sababu kwamba Serikali inamkwamisha?!

Unaweza kusema Tanzania ina teknolojia ya chini, lakini je, Hawa wasomi wa sayansi waliosheheni katika nchi Wana kazi gani na ikiwa wao ni wanasayansi wa kweli kwanini wanakimbilia kwenye siasa

Wengi watasema mtaji, je serikali itupe mitaji ya bure nchi nzima?! Lakini Ujue hata kama wafadhili wakija kabla ya kukusaidia, wanataka uwaonyeshe Vision & mchanguo wa matumizi endelevu ya rasilimali endapo ukikabidhiwa, hapo napo ni changamoto maana unakuta kijana anayelalamika throughout Hana Vision, which means hata akipa mtaji wa ghafla utaishia tu kwenye matumizi mabaya kwa sababu vision ndiyo Kila kitu katika safari ya mafanikio.

Japo serikali Ina mchango mkubwa katika ku soften utekelezaji wa maono ya vijana lakini sioni sababu ya msingi kuilaumu kuanzia asubuhi Hadi jioni, mchana na usiku. Binafsi nilimaliza college Mwaka Jana nikaingia kitaa kupiga kazi za zege na vibarua vya mashambani plus boom nililobakizaga na Sasa ni msimu wa kilimo naingia katika kilimo. Maisha yangu hayamtegemei bibi Hangaya Wala dada Tulia ili yaende. Nilijiwekea vision kwamba ifikapo 2031 in any how kuwepameeleweka.

In God we Trust
Kama sio babako basi utakua unakula ulaji wa shemeji yako unamsadia dadako ku kuna nazi other wise ilibidi babako angekupiga nyeto chooni kuliko kuzaa uchafu kama ww duniani
 
Nitangaze mapema kwamba
1. Mimi ni graduate na ni jobless kama walivyo vijana wengi
2. Mimi Sina chama chechote na siyo msenaji wa yeyote.

Lakini najiuliza sana Hawa wahindi na wazungu waliohamia kutoka nje na kuwawekea watoto wao misingi ya mafanikio na Sasa wengi wa watoto wao under 35 ambao wengi wao ni wazaliwa wa Tanzania wanakula butter, je, sera za siasa za Tanzania hazikuwaathiri wazazi wao kuwaandalia watoto wao maisha?! Hapa utafahamu kwamba asilimia kubwa ya ugumu wa kiuchumi tulionao ni makosa ya wazazi kutokuwekeza kwaajili yetu.

Unaweza kusema Tanzania ina masikini wengi. OffCourse Kila nchi Ina asilimia flani ya wananchi walio kwenye Hali ngumu kiuchumi na wimbi kubwa la ukosefu wa ajira. hao walio kwenye Hali Mbaya wanapaswa kusaidiwa na serikali Yao of which hata hapa Tanzania tunaoma juhudi za serikali kupitia TASAF na mikopo isiyo na riba kupitia halmashauri mbali mbali. Lakini je Hawa ambao hawapo kwenye mkwamo mkubwa, kwanini Kila unayemkuta Hana direction anatoa sababu kwamba Serikali inamkwamisha?!

Unaweza kusema Tanzania ina teknolojia ya chini, lakini je, Hawa wasomi wa sayansi waliosheheni katika nchi Wana kazi gani na ikiwa wao ni wanasayansi wa kweli kwanini wanakimbilia kwenye siasa

Wengi watasema mtaji, je serikali itupe mitaji ya bure nchi nzima?! Lakini Ujue hata kama wafadhili wakija kabla ya kukusaidia, wanataka uwaonyeshe Vision & mchanguo wa matumizi endelevu ya rasilimali endapo ukikabidhiwa, hapo napo ni changamoto maana unakuta kijana anayelalamika throughout Hana Vision, which means hata akipa mtaji wa ghafla utaishia tu kwenye matumizi mabaya kwa sababu vision ndiyo Kila kitu katika safari ya mafanikio.

Japo serikali Ina mchango mkubwa katika ku soften utekelezaji wa maono ya vijana lakini sioni sababu ya msingi kuilaumu kuanzia asubuhi Hadi jioni, mchana na usiku. Binafsi nilimaliza college Mwaka Jana nikaingia kitaa kupiga kazi za zege na vibarua vya mashambani plus boom nililobakizaga na Sasa ni msimu wa kilimo naingia katika kilimo. Maisha yangu hayamtegemei bibi Hangaya Wala dada Tulia ili yaende. Nilijiwekea vision kwamba ifikapo 2031 in any how kuwepameeleweka.

In God we Trust
Watanzania wengi tunategemea elimu ambayo unasoma huku ukisubiri miaka 12 mbele upate ajira uanze maisha mengine.

Huku kwenye biashara unaweza kutoboa ndani ya miaka miwili tu ukampiga gape msomi kwa miaka 10 nzimq ambayo yeye anakesha darasani na maprocedure kibao
 
Watanzania wengi tunategemea elimu ambayo unasoma huku ukisubiri miaka 12 mbele upate ajira uanze maisha mengine.

Huku kwenye biashara unaweza kutoboa ndani ya miaka miwili tu ukampiga gape msomi kwa miaka 10 nzimq ambayo yeye anakesha darasani na maprocedure kibao
Mafanikio ya biashara Ina tegemea Kuna siri nyingi maana hata kuinamishwa inawezekana ikawa ni moja wapo ya Siri ya mafanikio yako kibiashara
 
Ni vijana gani unaowaongelea mkuu??
Mbona hizo fikra ni za kizaman mkuu, kiukweli miaka hii vijana wameamka coz fursa ni nyingi kiasi na uelewa wa vijana wengi umepanuka.

Kama bado kuna hao vijana wanaoilaumu serikali hapo mtaani kwenu, hama mapema sana kabla hujaambukizwa huo upuuzi ama lah waelimishe.
 
Kama ww ulivyo jaza Siri yako
Na SI Kila mtu lazma awe entrepreneur elewa
Uzuri ni kwqmba hakuna sehemu nimelazimisha au kusema kwamba lazima kila mtu awe intaprinyua,ni basi ukosefu wa uelewa wa wana JF ikiwemo huyu ninayemjibu hapa
 
serikali kupitia TASAF na mikopo isiyo na riba kupitia halmashauri mbali mbali. Lakini je Hawa ambao hawapo kwenye mkwamo mkubwa, kwanini Kila unayemkuta Hana direction anatoa sababu kwamba Serikali inamkwamisha?!
Mikopo ya Serikali ni 'Mikopo ya vikundi' haiwezekani niwe na Strategies zangu ABC alafu niende kuomba mkopo niambie uwe na wenzio 10.
Unaweza kusema Tanzania ina teknolojia ya chini, lakini je, Hawa wasomi wa sayansi waliosheheni katika nchi Wana kazi gani na ikiwa wao ni wanasayansi wa kweli kwanini wanakimbilia kwenye siasa
Huwezi mpangia msomi afanye Nini, mwana sayansi 'anakimbilia siasa' huo ni uamzi wake haukuhusu hukumsomesha, wala humlishi akiwa na njaa, Amesoma kwaajiri ya kujisaidia yeye na si jamii...THIS IS CAPITALISM ERA.
Wengi watasema mtaji, je serikali itupe mitaji ya bure nchi nzima?! Lakini Ujue hata kama wafadhili wakija kabla ya kukusaidia, wanataka uwaonyeshe Vision & mchanguo wa matumizi endelevu ya rasilimali endapo ukikabidhiwa, hapo napo ni changamoto maana unakuta kijana anayelalamika throughout Hana Vision, which means hata akipa mtaji wa ghafla utaishia tu kwenye matumizi mabaya kwa sababu vision ndiyo Kila kitu katika safari ya mafanikio.
Hakuna mtu/msomi asiewesa kuandika Vision/Business Idead/Proposal endapo Investor au huo mtaji wakiwezeshwa utakuwepo.
Binafsi nilimaliza college Mwaka Jana nikaingia kitaa kupiga kazi za zege na vibarua vya mashambani plus boom nililobakizaga na Sasa ni msimu wa kilimo naingia katika kilimo. Maisha yangu hayamtegemei bibi Hangaya Wala dada Tulia ili yaende.
Huo ni msoto sio Hustling, tafuta kazi.
 
Ni vijana gani unaowaongelea mkuu??
Mbona hizo fikra ni za kizaman mkuu, kiukweli miaka hii vijana wameamka coz fursa ni nyingi kiasi na uelewa wa vijana wengi umepanuka.

Kama bado kuna hao vijana wanaoilaumu serikali hapo mtaani kwenu, hama mapema sana kabla hujaambukizwa huo upuuzi ama lah waelimishe.
Hongera kwa kazi nzuri ya kupotosha umma pitia pale kwa mhasibu wa chama kachukue buku 7 yako
 
Back
Top Bottom