Ni nani aliyekufundisha mapenzi?

mchajikobe

JF-Expert Member
Aug 14, 2009
2,640
1,215
Hapa ndugu zangu naomba kuuliza kuwa ni nani aliyekufundisha kufanya mapenzi?Maana nimeshasikia watu wanalalamika,ooh mara demu wangu hajui mapenzi,oooh mara flani anajua mavituuz,mara yule gogo,huyu hanifikishi.Sasa napenda kujua ninani anayefundisha au mwalimu bora na yupo wapi?Je wewe aliyekufundisha ni yupi?Chaitajika nini ili uwe mtaalam wa hii kitu?
 
hiyo kitu unajifunza kwa kufanya! hakuna mwalimu wala nini. Pia unaweza kujifunza kwa kusoma vitabu vya mapenzi, hadithi za mapenzi. Bora ufanye ili ujukosolewe na hapo ndio utajifunza na siku nyingine hutorudia kosa!
 
Mapenzi ni sanaa, utundu, ubunifu na kujituma. unapokuwa huna hizo sifa hapo ukikutana na aliye nazo basi atakufunza.
 
Hapa ndugu zangu naomba kuuliza kuwa ni nani aliyekufundisha kufanya mapenzi?Maana nimeshasikia watu wanalalamika,ooh mara demu wangu hajui mapenzi,oooh mara flani anajua mavituuz,mara yule gogo,huyu hanifikishi.Sasa napenda kujua ninani anayefundisha au mwalimu bora na yupo wapi?Je wewe aliyekufundisha ni yupi?Chaitajika nini ili uwe mtaalam wa hii kitu?
....nilifundishwa na beki 3 wetu enzi hizo hakuna ngoma,ni sterio tu.
 
maswali mengine bana.
how old r u?????

kwa watu wengine mapenzi sio muhimu
hivyo.
muhimu ni kula,kuvaa,afya bora na usalama.
love can be a fantassy to some people.
 
mi nilifundishwa na yaya wa nyumba ya jirani na kwetu kule Msoga kwa bibi yangu mzaa baba
 
kwa kweli hakuna aliyenifunza lakini nilifanya mazoezi mengi na kujaribu mbinu mbalimbali ambazo zimenifanya niwe gwiji. ila kuna gazeti fulani lilikwepo miaka ya mwanzo ya tisini na moja mpaka na tano siju km liliendelea tena nakumbuka likiitwa km sikosei heko au sikumbuki sana kulikuwa na makala inaitwa darasa la mapenzi. yule jamaa alikuwa anatoa darasa si mchezo, pale nilijifunza michezo mingi sana.
 
Ni utundu wako na kufuatilia vijarida,magazeti yenye makala mbalimbali za mapenzi,filamu n.k. By the way beki 3 wanasemekana kuwatoa watu wengi kwenye haka kamchezo. The same applied to house boyz.
 
hiyo kitu unajifunza kwa kufanya! hakuna mwalimu wala nini.

Hapo unamaanisha ukikutana na demu akawa mjuzi sana ina maana alishafanya sana au? Na wewe ukikutana na demu ukamwaga maufundi yote unataka akueleweje? Hii sijaipenda, itasababisha watu waogope kuonesha ujuzi.
 
Swali sio ulianza na nani swali nani alikufundisha na mna y akukamua vizuri.

Kwangu mimi nilijua kukamua vizuri baada ya kusikia story kwa watu kwamba wana wake wanatakiwa ufanye hivi na vile na pia wanawake ,kila mmoja ana namna yake ili aweze kusikia vizuri,
Kwa hiyo ikawa na jaribu kila njia kila aina ya utundu pamoja na kucheki movies za ma lesbian wakisagana , ili kuona nimfanyeje mwanamke , pamoja na kuangalia movies za matusi , kuchukua ujuzi, matokeo yake nika pata shahada ya kwanza ya kufanya mapenzi.kiasi mbaka nikastukia nimesha dumbukia kwnye fetish world !
 
Swali sio ulianza na nani swali nani alikufundisha na mna y akukamua vizuri.

Kwangu mimi nilijua kukamua vizuri baada ya kusikia story kwa watu kwamba wana wake wanatakiwa ufanye hivi na vile na pia wanawake ,kila mmoja ana namna yake ili aweze kusikia vizuri,
Kwa hiyo ikawa na jaribu kila njia kila aina ya utundu pamoja na kucheki movies za ma lesbian wakisagana , ili kuona nimfanyeje mwanamke , pamoja na kuangalia movies za matusi , kuchukua ujuzi, matokeo yake nika pata shahada ya kwanza ya kufanya mapenzi.kiasi mbaka nikastukia nimesha dumbukia kwnye fetish world !

Khaaa! Fetish world???
 
Mimi nilifundishwa kufanya mapenzi mwaka 1983 wakati nikiwa Kijijini kwetu lakini huyo msichana ambaye alikuja kuomba papai nikambia mpaka tufanye ngono, hivyo tukaingia kichaka kimoja nikafanya ngono mara 2.

ilikuwa jioni, lakini kesho yake nikiwa nakojoa nikawa nasikia uume kuuma, sikuwa najua lolote nikamueleza Mama yangu mzazi kuwa nikikojoa naumia. Akanipeleka Zahanati nilipopima na alipoambiwa majibu, HAKUAMINI kile alichoambiwa, na alinikemea sana, hivyo nikawa najua kumbe kufanya mapenzi ni kupewa magonjwa.

Hivyo, tangu mwaka 1983 hadi nilipokuwa kuwa naingia Chuo Kikuu mwaka 1994 ndipo nilipoanza tena kufanya mapenzi. MSICHEKE.
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom