Elections 2010 Ni nani aliyeingiza udini kwenye kampeni hizi?

Status
Not open for further replies.
Utatoa mapovu yote Omar lakini ukweli unabaki palepale, unafiki wako wa kupretend kuwa mpinzani umegundulika siku nyingi sana. Janja ya nyani kisagundulika. Wewe endeleza tu talking points za Makamba na Kinana na ukimaliza tutajadili hoja za msingi.
Unafiki ni pale ulipoanza kujipendekeza kwa CHADEMA na wanamageuzi Tanzania wakati ukijua fika kuwa wewe ni mpenzi wa ccm na serikali ya kifisadi ya Kikwete.

Kama kweli unanijua then utajua kuwa kujipendekeza kwa mtu sio hulka yangu.....I believe in effective democratic system and I will always suuport anyone whom and when I believe I need to achieve prosperous and democratic Tanzania. Muulize mtu yeyote huko kwenu kama niliwahi kuomba ama hata kuonyesha nia ya kujiunga nanyi.....I have always stand firm with my nonpartisan principle whatever the temptations....

Zaidi ya salamu na heshima kwao kama wakubwa wangu kiumri na hata kimaarifa, sijawahi kujuana na hao unaodai kuwa natumia talking points zao...Why should I while I am privileged to have my independent and innovative brains????

Believe me, sijaona hoja yoyote ya msingi uliyoianzisha ama kujibu zaidi ya mipasho, shallow assumptions na majungu tu...

Usiku mwema
 
Udini unawasaidia wajanja wachache kula kupitia watu wasioweza kufikiri kwa akili zao. Mtu anaweza kuwa msomi kweli lakini likiguswa suala la dini yake mtu huyo huchanganyikiwa na kuwa na akili ya chekechea. Ndo waafrika walivyo. Akili yote huishia kwenye mabishano ya dini ilhali ni wazi hata huko mbinguni hawaendi wako bize na mambo mawili: 1. Kutetea dini zao 2: Zinaa.
 
Bwa ha ha ha ... wewe na Mrema mnaweza kuanzisha chama cha kinafiki na mkaeleweka.

U mean Mrema gani? John Mrema is my brother and with all the differences I always respect his talents in political schemings....Kama ni Lyatonga nadhani hata yeye anaamini kuwa chama chako na viongozi wako nao ni wanafiki pia. No wonder Mwenyekiti wako ameapa kuhakikisha kuwa kiti cha vunjo kinaenda CCM lakini asipate Lyatonga Mrema kwani atatishia mipango yake kuelekea 2015...................ofcourse na kulipa deni kwa wanaCCM walioahidi kumsaidia kupata kiti cha HAI
 
....

Believe me, sijaona hoja yoyote ya msingi uliyoianzisha ama kujibu zaidi ya mipasho, shallow assumptions na majungu tu...

Usiku mwema

Inaonekana umesahau principle yangu --- ninajibu majungu, mipasho, shallow assumptions, udini, udaku etc kwa majungu, mipasho, shallow assumptions, udini, udaku etc.

Ukianza kuandika mambo ya msingi na kutoa hoja za msingi, utajibiwa accordingly.

take it easy mnafiki.... uwe na usiku mwema pia
 
U mean Mrema gani? John Mrema is my brother and with all the differences I always respect his talents in political schemings....Kama ni Lyatonga nadhani hata yeye anaamini kuwa chama chako na viongozi wako nao ni wanafiki pia. No wonder Mwenyekiti wako ameapa kuhakikisha kuwa kiti cha vunjo kinaenda CCM lakini asipate Mrema kwani atatishia mipango yake kuelekea 2015...................

Here we go again .... wewe na Augustino Mrema inabidi muanzishe chama cha wanafiki na kisha mle kote kote - kwa mafisadi wa ccm na kwa wanafiki wenzenu chamani.
 
take it easy mnafiki.... uwe na usiku mwema pia

Haya wewe kipanga, mwanamapinduzi, mzalendo na mpambanaji hodari......wenzako wako field wakiconsolidate kura ninyi endeleeni kubwatuka hapa JF maana mtazipata nyingi tu za kuwawezesha ushind dhidi ya Kikwete na pia viti 106 bungeni..............

By the way, I admire ur energy but u need some substance to boost ur talent........
 
Wakuu naona tunasahau kitu kimoja adui mkuu wa maendeleo ya nchi yetu ni CCM na wala si dini yeyote ile. CCM kama genge la watu wasio na huruma ndiyo wametufikisha hapa.
 
Udini unawasaidia wajanja wachache kula kupitia watu wasioweza kufikiri kwa akili zao. Mtu anaweza kuwa msomi kweli lakini likiguswa suala la dini yake mtu huyo huchanganyikiwa na kuwa na akili ya chekechea. Ndo waafrika walivyo. Akili yote huishia kwenye mabishano ya dini ilhali ni wazi hata huko mbinguni hawaendi wako bize na mambo mawili: 1. Kutetea dini zao 2: Zinaa.
 
Haya wewe kipanga, mwanamapinduzi, mzalendo na mpambanaji hodari......wenzako wako field wakiconsolidate kura ninyi endeleeni kubwatuka hapa JF maana mtazipata nyingi tu za kuwawezesha ushind dhidi ya Kikwete na pia viti 106 bungeni..............

By the way, I admire ur energy but u need some substance to boost ur talent........

Crap
 
Inaonyesha wewe una bifu na hao mashehe kwani wakati Mokiwa na Kakobe wanatangaza nia ya kumkampenia padre slaa hukuona au kwasababu hawakuvaa ile kofia ya ubwabwa!?
Kwanza nimeanza kupata wasiwasi na hii dini yetu ya ukristo kwani ninavyoelewa dini imeletwa na aliyetuumba na miongozo yake yote ipo tayari haiitaji kufanyiwa marekebisho sasa hii dini inayofanyiwa marekebisho kila wakati ni dhahiri imetoka kwa shetani na si mungu aliyehai.
Baba mungu aliyehai tayari ameshaweka muda wa kufanya kazi na kuabudu hata pale aliposema nimeumba dunia na vilivyomo kwa siku sita na siku ya saba(jumapili) nikapumzika,nanyi fanyeni kazi kwa siku zote sita za wiki ila ifikapo jumapili mwende kanisani mkaniabudu mimi tuu.Sasa inashangaza leo wanaibuka mashetani fulani wanaanza kumkosoa mungu kwa kuweka siku ya jumapili ya kuabudu makanisani kwa wao kutoa amri(kumkiuka mungu) kuwa Jumapili ya tarehe 31/10/2010 wakristo tusiende makanisani huo ni upotoshwaji wa hali ya juu na haukubaliki.
Hivi sasa nasubiri kauli ya askofu mkuu wa KKKT(Dr.Malasusa) nae akiunga mkono utumbo huo basi ni bora nikawa mpagani kuliko kufuata mambo ya akina Kibwetere na baadae kutiwa moto nikiwa hapa duniani.
kama kweli watu tunafuata wachungaji wa uongo wa namna hii ni dhahiri hii si dini ya ukweli toka kwa yule aliyetuumba bali ni uzushi toka kwa wafuasi wa shetani kwa kutaka keneemeka hapa duniani kwa maana imeandikwa kuwa kila atangazae injili apate riziki kutokana na injili hiyohiyo sasa hawa viongozi wetu wa dini vipofu watatutumbukiza shimoni,mnukuu bwana Yesu anasema Wachungaji wamepoteza watu wangu,alijua kabisa hawa akina Kobe na wenzie lengo lao ni kutunisha mifuko yao na vitambi vyao bila ya kujali maisha baada ya kufa.

Najua nitawaudhi wengi na mtakereka wengi lakini ni bora nikasema kuliko kufa na tai shingoni kama mzungu hilo halitowezekana,na wote watakaojibu utumbo basi nao ni wale wale wasiotumia ubongo katika kufikiri ila wanatimia yale yatokayo puani.
Watu wamekuwa wabaya wanawaza pesa tuu hata kumjua mungu wa kweli hawataki,kutwa kuzungumzia mambo ya siasa ha makanisani hawaendi huo ni ushetani,narudia tena huo ni ushetani na ole wenu siku itapofika,siku ambayo baba hatomjua mwana.Enyi watu rudini kwa mola wenu kwa hakika mola wenu ni mwingi wa msamaha.

.
Jamani huyu sabato masalia katoka wapi? Yaani unaacha hoja iliyoletwa jamvini unaanza kuhubiri kile unachowazia kuwahubiria masalia ukiisha kuwatenga kando.
 
Mmefanya juhudi gani za kuhakikisha kuwa kuwa hamuwapi leverage wakaweza kuaminiwa na watu kuhusiana na na hayo madai wanayo yasambaza?? Mangapi ambayo mmeyafanya ambayo yamekuwa yakitoa tafsiri ya kuwa wanayoyasema wanapropaganda wa CCM yana chembe za ukweli??? Sihitaji kumention hapa....

Kama ambavyo CUF walivyokosea na kudhani kuwa huo utakuwa mtaji mzuri wa kuhakikisha solid political base nanyi ama kwa kujua ama bila ya kujua mkaingia katika mkenge huo na haswa wakati huu wa kampeni.

Ukiongelea vikofia na kanga katika mikutano ya CUF Pwani wengine wasemaji na mavazi na hata miziki ya maudhui ya kwaya katika mikoa ya Ruvuma, Iringa, Mbeya??? Yote haya ni natural things lakini kama wanasiasa ni lazima ukahakikisha unayacontain ili kulinda na kujenga image ya chama cha wote. No wonder CCM wameamua kung'ang'ania na magwanda, fulana, kanga na kofia za sare ambazo mnakimbilia kudai kuwa wanahongwa lakini ukweli yanaondoa muonekano wa kidini ama kikabila.....

By the way, hizi propaganda za CUF ni chama cha waislam ama mujahidina sio kazi ya wanaCCM tu...hata ninyi mnaamini hivyo na mmekuwa mkipia debe propaganda hizo...umesahau kauli zako hapa na hata hizo picha unazoweka hapa kupambana na hao unao amini kuwa ni CUF???

Lakini zaidi, umesahau kauli ya Freeman Mbowe wakati wa uchaguzi uliopita kuhusu sababu ya kutoshirikiana na CUF???

As I say, CCM huchokonoa...ninyi hutengeneza mazingira ya kushamiri kwa chokochoko zao..............

.
Huyu jamaa anajiita Omarlyas nimemshtukia, haikosi huyu ni Mansa Jingi mwandishi na mchambuzi wa siasa katika gazeti la Rai. Pia huyu jamaa ni kiongozi mwandamizi wa WAPO mission. Naona kazi zao pamoja na Majid hapa Jf ni moja na watakuwa wametumwa na yule fisadi papa RA. WATANZANIA HATUDANGANYIKI, KWA KURA ZETU TUTAMFANYA SLAA KUWA RAIS WA AWAMU YA TANO WA SERIKALI YA MUUNGANO YA TANZANIA.
 
.
Huyu jamaa anajiita Omarlyas nimemshtukia, haikosi huyu ni Mansa Jingi mwandishi na mchambuzi wa siasa katika gazeti la Rai. Pia huyu jamaa ni kiongozi mwandamizi wa WAPO mission. Naona kazi zao pamoja na Majid hapa Jf ni moja na watakuwa wametumwa na yule fisadi papa RA. WATANZANIA HATUDANGANYIKI, KWA KURA ZETU TUTAMFANYA SLAA KUWA RAIS WA AWAMU YA TANO WA SERIKALI YA MUUNGANO YA TANZANIA.

mkuu wangu kiby, katika hili nitamtetea Omar.
Sidhani kama Omar ndiye Mansa Jingi (ingawa binafisi simfahamu Mansa). Omar ninamfahamu na sidhani kama ameanza kuandikia gazeti la rai (labda kama anafanya kwa siri).
 
mkuu wangu kiby, katika hili nitamtetea Omar.
Sidhani kama Omar ndiye Mansa Jingi (ingawa binafisi simfahamu Mansa). Omar ninamfahamu na sidhani kama ameanza kuandikia gazeti la rai (labda kama anafanya kwa siri).

.
Kama omar unamfahamu mkuu basi nitakuwa nimekosea. Kuna point mbili tatu zilizonifanya nifikiri hivyo, kumbe nilijikosesha. I REALLY APOLOGISE FOR THAT.
 
NAFIKIRI ILI KULETA UMOJA WETU BONGO MGOMBEA WA URAIS AKIWA MUISLAMU MWENZA WAKE AWE MKRISTO HAPO KUTAKUA NA UMOJA NA KILA MIAKA KUMI LAZIMA RAIS ATOKE SEHEMU TOFAUTI ya NCHI BAINA YA BARA NA VISIWANI.
 
NAFIKIRI ILI KULETA UMOJA WETU BONGO MGOMBEA WA URAIS AKIWA MUISLAMU MWENZA WAKE AWE MKRISTO HAPO KUTAKUA NA UMOJA NA KILA MIAKA KUMI LAZIMA RAIS ATOKE SEHEMU TOFAUTI ya NCHI BAINA YA BARA NA VISIWANI.
Tanzania si Lebanon.
 
Tanzania si Lebanon.

But we are heading there???? Kaka wakati mwengine kama si wakati wote, busara za wazee zina umuhimu sana. Mwalimu na CCM yake waliporasimisha hili suala la kupokezana ndani ya CCM walikuwa na mantiki yake. Tena wakati huo tulikuwa bado tunajivunia a strong national and social cohesion kuliko sasa........

Way back after following closely the post Mkapa politics and role of religious institutions, leaders and zealots, with the eroding state and moral institutions legitimacy, I saw this coming kaka. I expected CHADEMA will be smart enough to do the nation a favour of being extra sensitive of the conditions....but what, opportunism ruled over sanity.....
 
Tatizo la ccm (hasa viongozi wake wa juu) ni kutumia hoja dhaifu kwa manufaa yao ya kisiasa bila kuzingatia matokeo yake kwa taifa kwa muda mrefu. Ikumbukwe hoja hii ya udini haikuanza leo kwa Slaa, waliianzisha katika kampeni za uraisi za mwaka 2000. Katika uchaguzi huo ambapo mgombea wa ccm alikuwa ni Mkapa (ambaye ni Mkristo) ccm ilitumia propaganda chafu kuwatuhumu cuf kwamba ni chama cha kidini (cha waislamu) na hii kwa kiasi kikubwa iliwaathiri sana cuf katika uchaguzi huo. Kujitokeza kwa Dr. Slaa katika uchaguzi wa mwaka huu kumewabadilishia kibao. JK ni muislamu, Lipumba haonekani kuwa tishio kubwa kwao, hivyo hoja hiyo hiyo ya udini iliyowaathiri cuf mwaka 2000 inatumika tena kwa Chadema sasa, lakini kwa bahati mbaya kwao ni kwamba watanzania wa sasa siyo wale wa mwaka 2005. Makamba atahukumiwa kwa hili la udini
 
Akiwahutubia akinamama huko Kigoma, Mama Kikwete kwa nyakati mbili tofauti amezungumzia juu ya wafanyao kampeni za uchaguzi kwa kutumia udini na ukabila kuwa ni hatari kwa amani ya nchi.

Bila kukitaja chama, NGO au watu binafsi alionekana kuguswa sana na hilo swala na alijua kuwa akina mama ndio karata yake ya mwisho katika kulipuuzia hilo na kudumisha amani.

Swali kubwa la kujiuliza hapa, HIVI MAMA KIKWETA ALIDHAMIRIA KUWANYOOSHEA KIDOLE AKINA NANI? CUF, CHADEMA, NCCR, CCM au TLP?

Hiki ni kitendawili ninachowaomba wenzengu hapa JF tutatue bila upendeleo. Natanguliza shukrani zangu za dhati.
 
Udini hauna nafasi kwa chama chochote. Kama mama Kikwete amezungumzia hilo ni ujumbe tosha kwa mtu yeyote anayehusika regardless.
 
Akiwahutubia akinamama huko Kigoma, Mama Kikwete kwa nyakati mbili tofauti amezungumzia juu ya wafanyao kampeni za uchaguzi kwa kutumia udini na ukabila kuwa ni hatari kwa amani ya nchi.

Bila kukitaja chama, NGO au watu binafsi alionekana kuguswa sana na hilo swala na alijua kuwa akina mama ndio karata yake ya mwisho katika kulipuuzia hilo na kudumisha amani.

Swali kubwa la kujiuliza hapa, HIVI MAMA KIKWETA ALIDHAMIRIA KUWANYOOSHEA KIDOLE AKINA NANI? CUF, CHADEMA, NCCR, CCM au TLP?

Hiki ni kitendawili ninachowaomba wenzengu hapa JF tutatue bila upendeleo. Natanguliza shukrani zangu za dhati.

Hivi wewe una mtindio wa ubongo au kitu gani? Kwa taarifa yako, huyu mama Kikwete hapendwi (aka siyo popular kabisa) humu ndani na almost hakuna anayetilia maanani kauli zake za kisiasa. Huu ni siyo nini wala chochote bali ni uchokozi wa wazi! Heshimu hilo ewe mdada na wewe na Mujahidina wenzako mtupishe na upuuzi wenu!!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom