Gavana
JF-Expert Member
- Jul 19, 2008
- 33,233
- 8,779
Wee mtoto ulitokana na mwaka koga, Nyerer aliombwa alinde Mapinduzi yasije kupinduliwa. History inaonyesha wazi jinsi wazanzibar walivokuwa watu wakuomba kusaidiwa ndio maana walimuomba mpaka Jenerali Okello kufanya Mapinduzi alipomaliza akaenda kutangaza Redioni Karume popote ulipo jitokeze uje uchukue Nchi kazi nimemaliza.
Ni ukweli mchungu kwamba Wala urojo hawakuweza kujipigania na kujilinda mpaka waombe msaada kwa kina Okello na Nyerere. Inaonekana wewe uko upande wa Pili wa watu waliopinduliwa na Nyerere akaja kuzuia uwezekano wa nyie kufanya Mapinduzi, ndio maana mnamchukia na kuuchukia Muungano.
Ndivyo ulivyoambiwa kanisani kwenu na Kardinali pengo . Watoto wa mbio za mwenge hamjui zaidi ya hapo.