Ni nani aliyeacha alama ya mguu kwenye jiwe hili la Morogoro?

nyosema mwandishi ni kweli ilo jiwe lipo mlima uruguru, eneo linaitwa kisosa kwa bibi mmoja anaitwa Semeni. Ni mmoja wa ashuhuda wa hilo jiwe nakumbuka nilikua Boy scout miaka ya 2012-210 na camp nyingi sana tulikua tukipiga Bahati Camp, ila safari nyingi sana tulikua tukipandisha kwenda Morning site, ambako ni jurani sana na kijiji cha kisosa ambako ndipo jiwe hili lilipo.
Kwa maelezo ya Zungu ambaye ndiye anayelinda Camp ya Morning site pia kwa maelezo ya bibi Semeni ni kuwa ilitokea radi kubwa eneolote pale palikua pekundu mithili ya moto, na ilikua ikionekana kama mtu ndani ya ule moto ambaye alikua na fimbo mkononi akiwa amekaa huku mguu mmpja ukiwa umekajaga na mwingine ulikuwa umeinuliwa juu, na alitumia mguu ambao umeinuliwa juu kuondokanao na kwenda kukanyaga mlima mwingine na moja ya mlima unaosemekana alienda kukanyaga huko ni mlima mguru wa ndege ambao uko lukobe, ila unaweza kuuona kwa urahisi ukiwa waenda dodoma kwbla hujafika mkundi au mzani wakwanza kutokea msamvu bus stand, huo nfio moja ya mchangowangi
by Nico's
kamojatu na Consigliere njooni huku mkamate maajabu ya historia.

Mi bora nibakie na elimu yangu ya VETA niliyospesholaiz kwenye ukarabati wa vyerehani
 
ukiwa huamini kitabu cha Qur'an basi utakua na maswali mengi sana yasiyo na majibu juu ya hii dunia.

the best part, ni kuwa Qur'an sio tu imetueleza kuhusu dunia na yaliyopita (historia), lakini pia kuhusu future (matukio ambayo hayajotokea bado, ila yatakuja tokea).
 
ukiwa huamini kitabu cha Qur'an basi utakua na maswali mengi sana yasiyo na majibu juu ya hii dunia.

the best part, ni kuwa Qur'an sio tu imetueleza kuhusu dunia na yaliyopita (historia), lakini pia kuhusu future (matukio ambayo hayajotokea bado, ila yatakuja tokea).
Aisee! Quran Ilitabiri Watu kwenye Kuishi Mars?!
 
Picha kaweka. Ila jiwe lenyewe halitambuliki kama ni la volkano ama jiwe jabali, kutokana na rangi yake lilivyo.
Maelezo ya aina ya jiwe ingetusaidia kuungaunga stori na za kule Arusha sijui Kilimanjaro zilikoonekana nyayo za watu wa kale kwenye mawe ya jamii ya volkano.
Tulivyojigunza darasani miloma ya Uluguru ni fold mountain hivyo hio sio volcano.kwa hiyo jenga hoja tu, hata kama ingekuwa volcano huyo mtu angeungua miguu na kuwa vumbi.
 
Tulivyojigunza darasani miloma ya Uluguru ni fold mountain hivyo hio sio volcano.kwa hiyo jenga hoja tu, hata kama ingekuwa volcano huyo mtu angeungua miguu na kuwa vumbi.
Embu tema madini kidogo, kitu gani kinachofanya jiwe la miamba litepete na mtu ama mnyama alikanyage pekupeku hadi libonyee bila kumletea madhara yoyote?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom