EWGM's
JF-Expert Member
- Jul 22, 2013
- 1,521
- 2,109
Sababu inajulikana Chama Cha Mapinduzi kina kila aina ya uchafu kuanzia kuiba mali za serikali, rushwa, kutia mimba wake za watu, kughushi vyeti, kutesa, kuua na kila aina ya unyama. Maana kila anayetoka CCM si msafi ila akiwa CCM mbona hamsemi yote hayo.
Hivyo naomba niulize swali kwa wana CCM haswa haswa kwa huyu bana mkubwa aliyeishiwa sera na mashiko kwenye siasa za Tanzania Fred Mpendazoe. Ni nani kwa sasa aliye na nyadhifa ya uongozi ndani ya CCM ambaye ni msafi? Sitaki majina mengi tutajieni majina 10 tu.
Hivyo naomba niulize swali kwa wana CCM haswa haswa kwa huyu bana mkubwa aliyeishiwa sera na mashiko kwenye siasa za Tanzania Fred Mpendazoe. Ni nani kwa sasa aliye na nyadhifa ya uongozi ndani ya CCM ambaye ni msafi? Sitaki majina mengi tutajieni majina 10 tu.