HORSE POWER
JF-Expert Member
- Feb 22, 2015
- 2,069
- 1,388
Well planned assassination.Ila tusubiri muendelezo.
PK?? ndio Nan umeniacha njia pandakifo cha mtikila ni mkono wa PK namchukia sana huyu jamaa
PK?? ndio Nan umeniacha njia panda
Du! kumbe kuna siri nzito kwenye kifo cha huyu jamaaDah!
Atleast conspiracy yako inafikirisha kidogoPK ameichezea nchi vyakutosha...
Tolu amehusika na vifo kadhaa ndani ya ardhi ya Tanzania, wachache ni kamaLuteni Jenerali Imran Kombe, Mtikila na hata Prof. MwaikusaPK ameichezea nchi vyakutosha...
Na mimi ndio naona hapaDu! kumbe kuna siri nzito kwenye kifo cha huyu jamaa
Bahima empire was real kipind cha mwendazake. Ilifika mahali vijana wa kuhakikisha nchi ina usalama wakawa recruited kwa mr slim.MWENDO wa codes aisee bahima empire na Mr slim may be ZITAKUWA unlocked mbele
Jk alkuwa na weakness zake ila alikuwa na utu, hakuwa mkabila n.k mwendazake ni mkabila na ni mkanda, aliplan kuifanye ile mikoa inayomzunguka iwe na ufalme unaojitegemea.Kikwete aliua maelfu na Magufuli makumi elfu
Walishaikamata. Hop next time hatuwez kurudia makosa ktk presidential candidates.Hawa jamaa wangeweza kuikamata Tanzania wangekuwa na Kingdom kubwa sana, Bahati mbaya mipango ya Mungu ni ya tofauti na wanadamu
usisahau kunitag tafadhaliFor sure,
Kuna la Prof Jwani Mwaikusa nae aliyeuwawa kwa kupigwa risasi nyumbani hapa Dar,, hapa napo Paulo anahusika
Sijui niilete part B ya namna Marehemu Mtikila alivyoshughulikiwa,,, kuanzia kukutana na foreigner aliyekuja kwa mission ya dini mpaka umauti ukamfika
kuuumbe! afadhali amelala yoooWalishaikamata. Hop next time hatuwez kurudia makosa ktk presidential candidates.
Daah we jamaa unajua hadi basiMchg Mtikila alikuwa na hulka ya uropokaji hvyo hiyo kauli haikushangaza
Na kwa hulka yake hio pengine ndie mwanasiasa pekee nchini mwenye kesi nyingi zaidi mahakamani zenye kushitaki na kushitakiwa.
Na mara ya mwisho alifungua kesi kwa kumshitaki Askofu Mokiwa kwa kumshika makalio
Marehemu Prof Mwaikusa (ambae alikuwa mbobezi ktk taaluma ya sheria) alikuwa ni Wakili wa utetezi ktk moja ya kesi ya watuhumiwa wa ushiriki wa mauaji ya Kimbari nchini Rwanda iliyokuwa ikisikilizwa Arusha.
Na alifanikiwa kuibwaga Serikali ya Rwanda iliyokuwa ikitaka mtuhumiwa huyó wa mauaji apelekwe kushitakiwa mahakama za Rwanda lakn Prof Mwaikusa akashinda kesi ile kwa kusema kwamba mteja wake hatotendewa haki ktk mahakama za nchini Rwanda.
Kumbuka mtuhumiwa alikuwa ni Mhutu huku Serikali ya Rwanda ikiongozwa na Mtutsi bw Paulo
Kwahyo wakati kesi ya msingi ikianza kusikilizwa ndipo Prof Mwaikusa akakumbwa na umauti
Katika kesi ya mgombea binafsi pale Prof hakuwa tishio maana majaji wa Mahakama japo ni Mhimili mwingne lakn ni ukweli kuwa watafuata matakwa ya mwanasiasa ambae ni Raisi na Mwenyekt wa Chama tawala ktk kuamua.
Imran Kombe kivip?Tolu amehusika na vifo kadhaa ndani ya ardhi ya Tanzania, wachache ni kamaLuteni Jenerali Imran Kombe, Mtikila na hata Prof. Mwaikusa