hii ni weakness ya Jose Mourinho ingawa yeye anaiita strength yake; anajenga timu kuanzia beki. timu zote alizoenda style ni ile ile - Angalia Chelsea ya kina Drogba; angalia Inter ya kina Lucio; Angalia alivyokwenda Madrid; na sasa Mau U.Lukaku ni striker mzuri tu tatizo ni man U kwenye game kubwa zote wanacheza on the back foot, hawa-dominate michezo.Timu inapack basi muda wote, striker anakua kati kati ya uwanja zaidi ya 70% ya game halafu unataka magoli?
Natabiria amebakiza misimu miwili tu kabla wenye Man yao hawajamtupia virago; hakuna mtu anataka kuangalia mpira wa namna ile kwenye karne hii ya 21. Watu 11 wanazuia mpira usipite golini.
Cheki lile goko alilolitoa Lukaku wakati anaokoa, Yeye ni Striker sasa badala ya kuokoa mpira uende juu yeye anawababua stickers wa City - ndiyo msiba huo.
Angalia ushindi dhidi ya Arsenal; Man walicheza mpira wa miaka ya 70; huchezi unavizia vizia ili ufanye counter attack - mpira ya ki-longi sana hiyo.
Navyoona, hakuna shabiki wa Man U anayependeyazwa na style ya uchezaji wa timu hii kwa sasa.