AbuuMaryam
JF-Expert Member
- Dec 26, 2015
- 2,536
- 4,513
Kuna mambo tumeyakuta na tunayafanyia kazi bila sababu za Msingi...? Mfano hata hizi sikukuu tulizokuta... Mfano sijui tarehe 14 feb sijui siku ya mama au mwanamke...
Hili suala la miaka 18 sijui ndio umri wa kuolewa au kuoa... Miaka 18 ndio umri sijui wa kufanya maamuzi binafsi...
Wakati muumba mwenyewe ndiye aliyetuambia... Mtoto akinyonya kikamilifu anyonye miaka 2...Rejea kwenye quran...
Na alisema mtu akibalehe ni ruhusa kuozeshwa... Na haki ya uyatima inamtoka... Na akibalehe na kujitambua anaanza kuhesabiwa matendo yake... Mema na mabaya...Yaani thawabu na dhambi...
Sasa hii miaka 18 imetoka wapi ili iweje?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hili suala la miaka 18 sijui ndio umri wa kuolewa au kuoa... Miaka 18 ndio umri sijui wa kufanya maamuzi binafsi...
Wakati muumba mwenyewe ndiye aliyetuambia... Mtoto akinyonya kikamilifu anyonye miaka 2...Rejea kwenye quran...
Na alisema mtu akibalehe ni ruhusa kuozeshwa... Na haki ya uyatima inamtoka... Na akibalehe na kujitambua anaanza kuhesabiwa matendo yake... Mema na mabaya...Yaani thawabu na dhambi...
Sasa hii miaka 18 imetoka wapi ili iweje?
Sent using Jamii Forums mobile app