Nadhani sasa mko kwenye demokrasia pana. Itumieni kugombea Urais mpingane na Rais Magufuli 2020.
Ni nafasi ya kukikosoa chama chenu CCM, uwanja ni mpana wa demokrasia.
Mnaweza sasa mkasema mkasikika, mkapinga, mkakosoa kama siyo kupinga ambayo mnaona hayaendi sawa katika CCM.
Au huko kila kitu ni chema?
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni nafasi ya kukikosoa chama chenu CCM, uwanja ni mpana wa demokrasia.
Mnaweza sasa mkasema mkasikika, mkapinga, mkakosoa kama siyo kupinga ambayo mnaona hayaendi sawa katika CCM.
Au huko kila kitu ni chema?
Sent using Jamii Forums mobile app