matunduizi
JF-Expert Member
- Aug 20, 2018
- 6,577
- 15,337
Inabidi tuwaone haohao sura ngumu warembo haina jinsi kwa sababu tayari ni warembo akilini.
Unamaanisha nini mkurugenzi. Sijui hicho kilugha ulichotumia.Hello what do you Mean ?
FBI
Bishoo anayechelewa kuelewa ni mzigo kwa taifa na chama tawalasijaelewa
yes bishoo haswaaaa
hahahaha wako mtiifu mi sihusiki naoBishoo anayechelewa kuelewa ni mzigo kwa taifa na chama tawala
Baelezee!We unazungumzia msimamo upi.??
Tupo warembo wenye MISIMAMO yetu thabiti,sio tuu "msimamo"...
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimekuham zaidi
Acha tuu bi shostii...majukumu kumbe wakati mwingine yanaweza kukuweka mbali na uwapendao,loh..nimeamini aki vile,..Nimekuham zaidi
Siku hizi umekimbia kabisa kijiwe
Hongera kwa majukumu dear! Mungu akufanyie wepesiAcha tuu bi shostii...majukumu kumbe wakati mwingine yanaweza kukuweka mbali na uwapendao,loh..nimeamini aki vile,..
Sent using Jamii Forums mobile app
InshaAllah...tupo pamoja wa mimi,tuombeane kheri tuu si unajua hiki kijiji kuja kusalimu muhimu hasa kwa watu kama nyie wa moyoniiHongera kwa majukumu dear! Mungu akufanyie wepesi
Hahahaha shangazi namvulia kofia. Kitengo cha urembwende wa sura naona hajafahulu sana kama ukimbwendebongo "simatibureini"
Hongera nilikuwa nawachokoza tu. Hata maandishi yako yanaonyesha ulimbwende wenye msimamo Ila haujulikani kwenye vyanzo vya habari.We unazungumzia msimamo upi.??
Tupo warembo wenye MISIMAMO yetu thabiti,sio tuu "msimamo"...
Sent using Jamii Forums mobile app
Hongera nilikuwa nawachokoza tu. Hata maandishi yako yanaonyesha ulimbwende wenye msimamo Ila haujulikani kwenye vyanzo vya habari.