Ni mzee gani alimpa Nyerere makochi ya kukalia ambayo yapo kwenye nyumba ya Nyerere hapo magomeni?

Alafu anatokea mjinga mmoja huko asiemjua Mbowe wala historia ya Tz anajifanya kubwabwaja mfyuuuu!!!
Mpaka nimalize zamu yangu kwa hasira vigae vitatu vitakuwa havipo🏌️🏌️🏌️🏋️🏋️🏋️
 
mzee wetu mohamed said hana interest ya kuzungumzia wazee wa imani tofauti na ile yetu ambao walisaidiana na nyerere katika harakati za kutafuta uhuru.

yeye hujikita zaidi kuzungumzia mchango wa wazee wake wa kariakoo tu. historia ya hao wazee wengine kutoka uchagani na usukumani, sio focus ya mohamed said.

kwa mantiki hiyo, usitegemee maelezo yoyote positive kutoka kwake yanayohusu familia ya mbowe na uhusiano wao na nyerere katika harakati za kutafuta uhuru.
Kwa nini hamujitolei nyinyi mukaandika hiyo historia? Mohammed Said yeye ataandika ambayo anayafahamu kabisa na yamemgusa kwenye maisha yake, na nyinyi andikeni za hao ambao maisha yao yamewagusa.
 
mzee wetu mohamed said hana interest ya kuzungumzia wazee wa imani tofauti na ile yetu ambao walisaidiana na nyerere katika harakati za kutafuta uhuru.

yeye hujikita zaidi kuzungumzia mchango wa wazee wake wa kariakoo tu. historia ya hao wazee wengine kutoka uchagani na usukumani, sio focus ya mohamed said.

kwa mantiki hiyo, usitegemee maelezo yoyote positive kutoka kwake yanayohusu familia ya mbowe na uhusiano wao na nyerere katika harakati za kutafuta uhuru.
Sure kabisa

Nyerere kasitiliwa na wazee wengi Sana kuanzia hapo kariakoo Hadi huko uyui tabora

Mzee Mohamed kajikita kwa wazee wake tu wa hapo dar kariakoo.
 
6 Reactions
Reply
Back
Top Bottom