Ni mwanzo tu, Diamond Platnumz aagiza tena Lamborghini na Bentley, magari ya mabilion

sky soldier

JF-Expert Member
Mar 30, 2020
5,408
19,028
1626369014747.png

1626369141901.png

Baada ya kununua Rolls Royce Cullinan2021 Moja kati ya Gari za Ndoto yake ya muda wote Star wa muziki Barani Afrika Diamond Platnumz ametangaza kuwa anasubiri kupokea gari zingine mbili DiamondPlatnumz kupitia ukurasa wake wa instagram ametangaza kuwa gari zinazofuata alizozinunua ni lamborghini pamoja na bentleymotors na hivyo kwa sasa anasubiri kuzipokea nchini

 
Baada ya kununua Rolls Royce Cullinan2021 Moja kati ya Gari za Ndoto yake ya muda wote Star wa muziki Barani Afrika Diamond Platnumz ametangaza kuwa anasubiri kupokea gari zingine mbili DiamondPlatnumz kupitia ukurasa wake wa instagram ametangaza kuwa gari zinazofuata alizozinunua ni lamborghini pamoja na bentleymotors na hivyo kwa sasa anasubiri kuzipokea nchini

View attachment 1855113
Barabara za Kibongo Lamborghini mmh, labda siku hizi mmeendelea sana kwenye barabara.
All in all pongezi kwake, anajituma sana hivyo acha autakase moyo wake. Planning properly and working hard ndiyo vilivyomfikisha hapo alipo, acha ale matunda ya jasho lake.
 
Barabara za Kibongo Lamborghini mmh, labda siku hizi mmeendelea sana kwenye barabara.
All in all pongezi kwake, anajituma sana hivyo acha autakase moyo wake. Planning properly and working hard ndiyo vilivyomfikisha hapo alipo, acha ale matunda ya jasho lake.
David mosha alishawahi kuimiliki na mechi za yanga alikuwa anaenda nayo, huwa zinainuliwa
1626369634269.png

1626369589654.png

ila pia kuna matoleo ya model aina ya urus, zinakua juu

1626369799435.png
 
View attachment 1855126
View attachment 1855127

Baada ya kununua Rolls Royce Cullinan2021 Moja kati ya Gari za Ndoto yake ya muda wote Star wa muziki Barani Afrika Diamond Platnumz ametangaza kuwa anasubiri kupokea gari zingine mbili DiamondPlatnumz kupitia ukurasa wake wa instagram ametangaza kuwa gari zinazofuata alizozinunua ni lamborghini pamoja na bentleymotors na hivyo kwa sasa anasubiri kuzipokea nchini

View attachment 1855113
Anaishi ndoto zake.. Vema kumpongeza
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom