Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,475
- 39,991
Kwa miaka kadhaa sasa tumekuwa na magazeri na majarida mbalimbali ya mambo ya maisha. Wapo waandishi wa magazeti yale ya zamani na hata kwenye mitandao. Najaribu kutaka kuwasoma baadhi ya waandishi maarufu wa mambo haya wkani wale wa kisiasa wengi wanafahamika. Je kwenye masuala ya maishe (lifestyle), mahusiano (relationship) na hata mitindo (fashion) ni wachache wanafahamika au wanafahamika kwa kundi la watu wachache.
Naomba kwa wale wanaowasoma hawa watu (nazungumzia waandishi wa Kitanzania) tushirikishane:
a. Ni kina nani?
b. Wanaandika eneo gani
c. Wanaandikia kwenye magazeti gani?
d. Kwanini wanakuvutia?
e. Ni gazeti gani la mambo haya linalokuvutia zaidi na kwanini?
f. Na wanaandika kwa lugha gani zaidi - Ningependa wale ambao pia wako very fluent katika Kiingereza au hata Kifaransa!
MMM
Naomba kwa wale wanaowasoma hawa watu (nazungumzia waandishi wa Kitanzania) tushirikishane:
a. Ni kina nani?
b. Wanaandika eneo gani
c. Wanaandikia kwenye magazeti gani?
d. Kwanini wanakuvutia?
e. Ni gazeti gani la mambo haya linalokuvutia zaidi na kwanini?
f. Na wanaandika kwa lugha gani zaidi - Ningependa wale ambao pia wako very fluent katika Kiingereza au hata Kifaransa!
MMM