KOSAM
Member
- May 25, 2013
- 43
- 5
Habarin wanabodi.... Kumekuwepo na wanasiasa wengi katika vyama mbali mbali wamekuwa wakitumia nguvu nyingi ikibidi na pesa kuwavutia wananchi kujiunga na vyama vyao vya siasa pasipo ya wao kujua siasa zao zinawavutia wananchi? Sasa nawaomba tujue je ni wanasiasa/mwanasiasa gani mwenye mvuto kwa sasa na anatoka chama gani?:: haya sasa wanabodi kazi kwenu... Tupieni jina na chama chake