Sakayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 56,375
- 161,378
Hahahahaha
Sio jukwaa la ajira tena
Hahahahaha
Vipi ukimwacha ukatafta dem mwingine?Kwema wakuuu?
Katika pitapita zangu kumsaka mwenza wa maisha nikakutana na huyu mrembo aisee nakiri JF kuna watoto wazuri,huyu binti kutoka hapa jamuhuri ya watu wa jamii forums ni mzuri haswaa sifa yake kubwa kwanza ananyea mbalii(wazee wa mizigo hapo mshanielewa), rangi ya mtume, mtoto ananywele utasema kashonea sijui ndio maweaving ya kihindi kumbe zakwake Aisee! baharia nikabahatika kupendana na huyu manzi mpaka stage ile yakukaribia uchumba, mtoto anakuja getto(store) anakaa hata siku 3 anasepa
Shida inakuja huyu mtoto anaumwa,ni mgonjwa wa kuunguza mboga na sio kwa kupenda kwake ila kama kuna kitu kinamsukuma kufanya hvyo kwa walio angalia movie zilè za final destination wataelewa zaidi, yani hata akae hapo hapo muda wote lazima kuna kitu kitatokea tu cha kumuondoa hapo jikoni ili mboga iungue.
Mara ya kwanza alibandika nyama wakati anaanda mazaga mengine akasikia kelele nje kutoka kwenda kuangalia kuna mtoto wa jirani kameza gololi ikabidi atoe msaada pale kama dk 15 kurudi ndani nyama imekua mkaa.
Mara ya pili aliweka mboga za majani,akatoka nje kwa mangi kufuata unga aje asonge ugali kufika dukan hajamkuta muuzaji kaenda duka la mbali kidogo kurudi kakuta Chinese zimegeuka masizi.
Tulio la tatu alibandika maharage kama mnavyojua kibongo bongo maharage yanabandikwa nje kwenye mkaa yeye kaenda ndani akakaa anaangalia series bahati mbaya au ndio hilo dubwana linalomuandama akapitiwa na usingizi maharage yakakauka na kuungua vibaya mnoo.
Hayo matukio matatu yametokea mara zote alizokuja naamanisha wkend tatu zote alizokuja kwangu kaunguza..
Kuna wengine mshakutana na ugonjwa kama huu humu mlijitibu vipi?
Mimi nimemwambia apige nyungu kuondoa mikosi labda kuna mashoga zake wana jicho la husda hawataki aolewe mapema
Kmmmke ni kituko gani hiko umefanya we mwanamke? 🤣🤣🤣Kamanda ulipikiwa hivi.?
View attachment 1450202
Vipi ukimwacha ukatafta dem mwingine?
Kmmmke ni kituko gani hiko umefanya we mwanamke?
Hahahahaha
Sio jukwaa la ajira tena
Weee Jamaa naye ,unapenda mashimo mpaka umepitiliza !!.
Au Mimi ndo sijui kutongoza nn??.
Sent using Jamii Forums mobile app
acha ujinga mkuuMimi nimemwambia apige nyungu kuondoa mikosi labda kuna mashoga zake wana jicho la husda hawataki aolewe mapema
Basi endelea kula mboga iliyoungua mkuu. Au chura anayo peke yake?Kuliacha lile chura yahitaji roho ya kigaidi sana mkuu...yani uwe na roho mbaya haswaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Mzee mmoja aliniambiaga kua.. Siku alipoacha kuwafukuzia wanawake akaanza kuifukuzia thamani yake, alishangaa wanawake wakaanza kumfukuzia yeye !!!
Ushindwe wewe tu son.
Auntie mtoto mzuri kabisa huyu, hana shida kabisa.Nahitaji lakini sio huyo kabisaa jamani auntie
huyu atakuwa Hornet tuKwema wakuuu?
Katika pitapita zangu kumsaka mwenza wa maisha nikakutana na huyu mrembo aisee nakiri JF kuna watoto wazuri,huyu binti kutoka hapa jamuhuri ya watu wa jamii forums ni mzuri haswaa sifa yake kubwa kwanza ananyea mbalii(wazee wa mizigo hapo mshanielewa), rangi ya mtume, mtoto ananywele utasema kashonea sijui ndio maweaving ya kihindi kumbe zakwake Aisee! baharia nikabahatika kupendana na huyu manzi mpaka stage ile yakukaribia uchumba, mtoto anakuja getto(store) anakaa hata siku 3 anasepa
Shida inakuja huyu mtoto anaumwa,ni mgonjwa wa kuunguza mboga na sio kwa kupenda kwake ila kama kuna kitu kinamsukuma kufanya hvyo kwa walio angalia movie zilè za final destination wataelewa zaidi, yani hata akae hapo hapo muda wote lazima kuna kitu kitatokea tu cha kumuondoa hapo jikoni ili mboga iungue.
Mara ya kwanza alibandika nyama wakati anaanda mazaga mengine akasikia kelele nje kutoka kwenda kuangalia kuna mtoto wa jirani kameza gololi ikabidi atoe msaada pale kama dk 15 kurudi ndani nyama imekua mkaa.
Mara ya pili aliweka mboga za majani,akatoka nje kwa mangi kufuata unga aje asonge ugali kufika dukan hajamkuta muuzaji kaenda duka la mbali kidogo kurudi kakuta Chinese zimegeuka masizi.
Tulio la tatu alibandika maharage kama mnavyojua kibongo bongo maharage yanabandikwa nje kwenye mkaa yeye kaenda ndani akakaa anaangalia series bahati mbaya au ndio hilo dubwana linalomuandama akapitiwa na usingizi maharage yakakauka na kuungua vibaya mnoo.
Hayo matukio matatu yametokea mara zote alizokuja naamanisha wkend tatu zote alizokuja kwangu kaunguza..
Kuna wengine mshakutana na ugonjwa kama huu humu mlijitibu vipi?
Mimi nimemwambia apige nyungu kuondoa mikosi labda kuna mashoga zake wana jicho la husda hawataki aolewe mapema
Hapana kwa kweliAuntie mtoto mzuri kabisa huyu, hana shida kabisa.