Hapana, hapana, hapana! Mie hapana asee nna hakika sina huo ujasiri... Sina..
Sikuachi best, manake hapafai huko... Ntakuvuta asee!wakati anakutoa....na mimi univute....
Hakuna cha neno hapo shem...ni roho ngumu iliyopitiliza...Mi nadhani ukilishwa NENO ipasavyo utaweza, alafu SL bado nafanya mchakato wa zawadi gani MAALUMU kwa taskwork ulioifanya juu yangu hadi nikamdaka , nikadaka Aple (TUNDA ) Sina haja ya kulitaja kwani mbali ya kua linajitambua lenyewe , hata Mods wana habari ya umilikaji wangu wa Tunda hilo.
Subiri zawadi .
Sikutarajia kusikia kitu kama hiki maishani mwangu.JF kiboko na huyo mama mwisho wa reli..hakuna tena.
Hebu nyamaza asee manake hakunaga hicho unachosema daaah...Kama hukuwahi sikia leo umesikia, zingatio hapa ni "Aliyekupa (Mungu) ametwaa!
Mungu akitwaa hajakuonea ! Kapitisha mapenzi yake.
Huyohuyo Mungu kakupa riziki ya kua na mume (kwani kuna wanawake wangapi wanataka kuolewa na hawajafanikiwa kupata waume ?)
Na Mungu amekuelekeza kumpa unyumba mumeo si msaada ni haki yake !
So far haki 1 haivunji haki nyingine.