Gosbertgoodluck
JF-Expert Member
- Mar 3, 2008
- 2,856
- 401
Ndugu zangu kwa mwenendo huu, bila shaka hata viongozi waandamizi wa ccm lazima wanakiri mioyoni mwao kwamba chadema ni moto wa nyika usiozimwa kirahisi. Ni vigumu kukiri hadharani lakini ukweli ni kuwa mioyo ya akina Kikwete, Mukama, Chiligati, Nape, n.k lazima iwe inadunda kama ngoma ya mdundiko kwa kiwewe cha kupokonywa dola ifikapo 2015.