Ulikuwa unamuamini kweli mtu yule?Kikwete akiwa rais wa Tanzania aliweka jiwe la msingi kuashiria kuanza rasmi ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo.
Hiyo ina maana kuwa majadiliano yalishafanyika, mkataba ulishasainiwa, bajeti ya pesa ilishatengwa, utekelezaji wake ulishaanza!
Alipoingia Magufuli akasema amesitisha ujenzi (utelekezaji) wa bandari ya Bagamoyo kwa sababu mkataba ule ulikuwa haina maslahi kwa Tanzania.
Sasa tulitegemea serikali ya Samia Suluhu ije na kauli kuwa, imeamua kufufua ujenzi wa bandari ya Bagamoyo ambao mkataba wake ulizuiwa kutekelezwa na Magufuli.
Watu mbona mnachanganya mambo, sasa watu kulipwa fidia kea eneo kutaka kutwaliwa ndio kunahitaji mkataba wa ujenzi wa Bandari? Hiyo inaweza kuwa sehemu ya roadmap ya utekelezaji tu haina connection na mkataba wa ujenzi wa Bandari. Tafadhali msichangaye mambo.Si kuna watu wa mjini walilipwa fidia? Sasa ilikuwaje watu wakalipwa fidia bila mkataba? Mbona tunadanganyana?
Na jiwe la Msingi mlilozindua? Napo mkataba ulikua bado? Acheni uongo banaWatu mbona mnachanganya mambo, sasa watu kulipwa fidia kea eneo kutaka kutwaliwa ndio kunahitaji mkataba wa ujenzi wa Bandari? Hiyo inaweza kuwa sehemu ya roadmap ya utekelezaji tu haina connection na mkataba wa ujenzi wa Bandari. Tafadhali msichangaye mambo.
Mkuu hata una uandishi mbaya kiasi hiki? Hauzijui Nomino?
Huwa nawadharau sana watu walikuwa wanamuamini Magufuli, hili lazima niliweke wazi. Magufuli aliponda mikataba ya Bandari ya Bagamoyo na Gesi ya Mtwara bila kuiweka wazi. Lakini MAGUFULI huyo huyo akatumia Matrilioni ya fedha za walipa Kodi wa Tanzania kujenga miundombinu mikubwa na isiyo na tija wilayani Chato bila idhini ya Bunge.Kama JPM alikuwa anasema yaliyokweli kwann na yeye huo mkataba wa bandari ya bagamoyo hakuuweka wazi. Mbona na yeye alikuwa anaingua mikata ya Siri Hadi leo wananchi hatuijui? Kizazi kilekule cha Panya ila ndio viongozi tofauti hamna jipya
Mradi gani uliojengwa kwa matrillion chato? Tafadhali naomba unitajieHuwa nawadharau sana watu walikuwa wanamuamini Magufuli, hili lazima niliweke wazi. Magufuli aliponda mikataba ya Bandari ya Bagamoyo na Gesi ya Mtwara bila kuiweka wazi. Lakini MAGUFULI huyo huyo akatumia Matrilioni ya fedha za walipa Kodi wa Tanzania kujenga miundombinu mikubwa na isiyo na tija wilayani Chato bila idhini ya Bunge.
UKIWA na AKILI huwezi kufanya reference kwa kauli za MAGUFULI. He was jealous and a diasaster. Nafuu ALIKUFA mapema kabla jajatupeleka pabaya sana
Jumlisha gharama za kujenga Chato Airport, CHato Referral Hospital, Chato Burigi National Park, VETA Chato, Chato Stadium, Chato Port etcMradi gani uliojengwa kwa matrillion chato? Tafadhali naomba unitajie
Unaijua trillion? Burigi national park?national park toka lini ikajengwa?Jumlisha gharama za kujenga Chato Airport, CHato Referral Hospital, Chato Burigi National Park, VETA Chato, Chato Stadium, Chato Port etc
Wewe ndiyo hujui kitu. Nimekutajia vitu alivyo peleka kwako bila idhini ya bunge. Kisha nikasema tafuta gharama mwenyewe ulete hapa. Badala ya kuzileta gharama unaniuliza kama naijua Trilioni.Unaijua trillion? Burigi national park?national park toka lini ikajengwa?
Chato stadium? Hizi story huwa mnazitoa wapi?
Chato port? Hata huko chato.unapajua kweli?
Alitumia trioni ngapi mangiHuwa nawadharau sana watu walikuwa wanamuamini Magufuli, hili lazima niliweke wazi. Magufuli aliponda mikataba ya Bandari ya Bagamoyo na Gesi ya Mtwara bila kuiweka wazi. Lakini MAGUFULI huyo huyo akatumia Matrilioni ya fedha za walipa Kodi wa Tanzania kujenga miundombinu mikubwa na isiyo na tija wilayani Chato bila idhini ya Bunge.
UKIWA na AKILI huwezi kufanya reference kwa kauli za MAGUFULI. He was jealous and a diasaster. Nafuu ALIKUFA mapema kabla jajatupeleka pabaya sana
Acha ujinga kama huna kitu kichwani jifunzi kuuliza na kusoma comment za wenzako htuopungikiwa na kituWewe ndiyo hujui kitu. Nimekutajia vitu alivyo peleka kwako bila idhini ya bunge. Kisha nikasema tafuta gharama mwenyewe ulete hapa. Badala ya kuzileta gharama unaniuliza kama naijua Trilioni.
Wakati Kalemani anasema atajenga Stadium wewe ulikuwa wapi?
Comments za hovyo, zinastahili majibu ya hovyoAcha ujinga kama huna kitu kichwani jifunzi kuuliza na kusoma comment za wenzako htuopungikiwa na kitu
Ungetwambia kuna mkataba fulan uliofungwa katk utawala kikwete ungeeleweka, na sio jiwe, hilo ni jiwe sio mkataba, ebu turidhishe basi kwamba kina mkataba tayr ulisainiwaNimeona wengi wakimshutumu Mwambe, lakini inawezekana Mwambe akawa yupo sawa Ila kikwete ndio aliongopa. Tarehe 17/10/2015 ilifanyika hafla ambapo raisi mstaafu J Kikwete alizindua jiwe la Msingi kwa ajili ya ujenzi wa bandari ya Bagamoyo.
Hadi kufikia hatua ya kuweka jiwe la Msingi tafsiri rahisi ni kuwa mmeshakubaliana (mkataba) kuanza ujenzi. Sasa hivi Mwambe anasema hakuna mkataba uliosainiwa bali ilikua muhtasari tu wa vikao, sasa Cha kujiuliza lile jiwe walilozindua raisi kikwete pamoja na wale wachina ilikua geresha?
Au inawezekana pia raisi kikwete alituongopea, lile jiwe la Msingi halikua kwa ajili ya bandari ya bagamoyo.
Ni nani mkweli Kati ya kikwete na Mwambe?
Chini nimeweka clip ya you tube kikwete alizindua hilo jiwe la msingi
View attachment 2016527
Mtoa Mada ungeweka na Mifano pamoja na tafsiri kuwa kuweka jiwe la msingi ni sehemu ya mkataba. Mbio za mwenge au waziri fulani huwa wanaweka mawe ya msingi kwa ujenzi fulani na inakuwa kwenye michoro tu, badaye ndiyo hutafuta pesa au mwekezaji, wakikubaliana na mwekezaji ndiyo mkataba husainiwa.
Je, unafahamu kuwa michiro ya bandari ya bagamoyo imechorwa na serikali ya Tanzania au China,ukilifahamu Hilo ndiyo utajua nini maana ya jiwe la msingi.
Kwani Jiwe la Msingi ndo mkataba?Lile jiwe la Msingi lilikuwa la nini?