Return Of Undertaker
JF-Expert Member
- Jun 12, 2012
- 4,572
- 26,868
Source Jambo Leo
Imesemekana kuwa kwa kuwa Jk karudi yoka USA kuchunguzwa afya sasa wapambe wake wanasema inawezekana wizara ngumu iliyomwondoa Kaghasheki kuna hati hati kupewa Dr. Maghufuli au Dr. Mwakyembe kutokana na utendendaji wao au ikishindikana atarudishwa bwana Maige
Imesemekana kuwa kwa kuwa Jk karudi yoka USA kuchunguzwa afya sasa wapambe wake wanasema inawezekana wizara ngumu iliyomwondoa Kaghasheki kuna hati hati kupewa Dr. Maghufuli au Dr. Mwakyembe kutokana na utendendaji wao au ikishindikana atarudishwa bwana Maige