zomba
JF-Expert Member
- Nov 27, 2007
- 17,240
- 3,910
Majembe gani hayo mkuu?mbona nchi inazidi kuangamia?
Majembe yapo chadema tu, akina Zitto, Mkumbo, Lema, Mida Nane, Nyerere (feki), Slaa, Mbowe.
Majembe gani hayo mkuu?mbona nchi inazidi kuangamia?
JK ndo mwamuzi wa mwisho. CCM ina majembe mengi ambayo hayajatumika ipasavyo
Majembe au mizigo na wapiga dili
JK ndo mwamuzi wa mwisho. CCM ina majembe mengi ambayo hayajatumika ipasavyo
Ili kumaliza ugonjwa,mmoja wao angepewa uwaziri mkuu kabisa hapo ndo nigesema kutapatikana suluhisho.Source Jambo Leo
Imesemekana kuwa kwa kuwa Jk karudi yoka USA kuchunguzwa afya sasa wapambe wake wanasema inawezekana wizara ngumu iliyomwondoa Kaghasheki kuna hati hati kupewa Dr. Maghufuli au Dr. Mwakyembe kutokana na utendendaji wao au ikishindikana atarudishwa bwana Maige
JK ndo mwamuzi wa mwisho. CCM ina majembe mengi ambayo hayajatumika ipasavyo
Dr. wa ukweli alimwambia Kinana ndani ya CCM haoni waziri asiye mzigo kasoro wawili tu,JK ndo mwamuzi wa mwisho. CCM ina majembe mengi ambayo hayajatumika ipasavyo
Hiyo ni kweli kabisa!HIYO WIZARA ITAZIDI KUWAHARIBIA CV MAWAZIRI WA WIZARA HIYO HATA KAMA ATAWEKWA NANI, KWA SABABU WANAOIHARIBU WIZARA NI WALE MAKADA WATIIFU WA CHAMA CHA MAPINDUZI.Hakuna waziri atakayebaki salama atakayepewa hii wizara.
Huyu Vasco (Dagama) naye ni punda nini? Hizo safari zote (372) siyo burePale kuna mapunda tu wa JK huku mzee mzima akipiga dili.
JK ndo mwamuzi wa mwisho. CCM ina majembe mengi ambayo hayajatumika ipasavyo
JK ndo mwamuzi wa mwisho. CCM ina majembe mengi ambayo hayajatumika ipasavyo
Na mizigo bado ipo mingi sana kuliko idadi ya majembeJK ndo mwamuzi wa mwisho. CCM ina majembe mengi ambayo hayajatumika ipasavyo
Kuna msemo usemao mchawi mkabidhi mwanao. Hivyo basi wizara ya maliasili na utalii likabidhiwe jembe Kinana!
Na wewe utapewa wizara ya jinsia na watotoJK ndo mwamuzi wa mwisho. CCM ina majembe mengi ambayo hayajatumika ipasavyo