Ni mwaka wa pili sasa sipo group lolote la WhatsApp

Una kampani mbovu so unajikuta kwenye ma group mabovu sio ya maana so sikushangai uki left mfano mfanya biashara wa magari lazima awepo kwenye ma group ya magari kwa ajili ya biashara yake

Mfanyakazi ofisini kuna ma group ofsini kwa ajili ya taarifa mbalimbali ku interact na wenzako unataka ulete umimi na kujitenga kama mnyakyusa Unadhani ndio uzungu ndio maisha hayo ? Hata wazungu hawapo hivyo

Of course ukute labda wewe ni nerd I'm mean some kind of loser huna marafiki so huwezi ona umuhimu wa kuwa na marafiki ukute kazini unamjua boss tu na mtaani kwako uko kivyako hata majirani huwajui ,misibani ,huendi so ni sawa kutokuwa kwenye magroup

Mfano shuleni ulikua una rafiki mmoja au chuoni haukuwa na rafiki we ni kitabu tu ulikuwa unamjua CR tu sasa we group kwako ni la kazi gani


Wengi msio support ma group hata haya yenye tija achana na haya ya ngono mna circle ndogo ya watu , wengine ndio hivyo ma introvert Ambayo sio sifa nzuri , wengine ndio ma loser ,wakina John kisomo au nerds ambao mshukuru.mliajiriwa ofsini tofauti na hapo mbona mnge.interact na watu bila kupenda.
 
Najikuta tu siko kwenye group lolote la WhatsApp.

Ukiishi maisha ya kipekee raha sana. Kazini ni mwendo wa salamu, kazi na kicheko kidogo mnatawanyika.

Sijui magroup ya ma classmates sipo, magroup ya waliotoka Kijiji au wilaya au mkoa mmoja simo.

Magroup sijui ya kabila moja simo.

I feel good.
Kuna ngazi ya Juu Mungu akikuinua ni lazima tu utajikuta kwenye Magroup ya Whats app utake usitake....
Kwa sasa unaweza kujiona uko sawa ila kuna wakati haliepukiki....

Kwa mfano ukafanikiwa kuwa Kuongozibkama Mbunge , Diwani , au mkuu wa taasisi fulani ninlazima utakuwa kwenye magroup ya Whats app Au telegram kwa anili ya Ushirika na unaowaongoza au pamoja na viongozi wenzako....kuna mambo ya msingi zamani ilikuwa ni lazima kikao kikae ila sasa hivi kwenye group maoni yanafanyika na muafaka unapatikana ...
Kwa sasa utaona siyo lazima ila Ngoja ukue na kuongezeka ndipo utajua...
 
Najikuta tu siko kwenye group lolote la WhatsApp.

Ukiishi maisha ya kipekee raha sana. Kazini ni mwendo wa salamu, kazi na kicheko kidogo mnatawanyika.

Sijui magroup ya ma classmates sipo, magroup ya waliotoka Kijiji au wilaya au mkoa mmoja simo.

Magroup sijui ya kabila moja simo.

I feel good.
Ulitakiwa na humu usiwemo kabisa
 
Hata Mimi sipo group lolote.
Nulikuwa nayo matatu kila siku michango mtu hata akifiwa na Babu wa binamu yake anataka mchango.Harusi,send off sijui nini michango kila siku usipotoa wanakuchukia nikayafutilia mbali.
Mwezi uliopita Nina group la tuliomaliza chuo kikuu pamoja, walifiwa wawili, wiki iliyopita Nina group la tuliomaliza A level pamoja akifariki member mmoja na member mwingine kafiwa na babake, leo naibuka group la tuliomaliza chuo Tena member kafiwa na babake, hapo Nina harusi sijachanga moja wiki ijayo na nyingine next month.

Hii balaa, kumbuka tunachangia baba au mama mke/mume na watoto endapo watafariki, mie baba na mama Sina, Ila wenzangu naona kila siku baba anakufa unachanga tu, obviously niingechanga tu. Ila magroup yanatesa.

Wakati mwingine nilikuwa coincidence magroup matatu kuna misiba unajikuta unapata hela halafu unaitoa tu inaisha. Maana kwa umri na social status unakuta mkeka watu wameweka kuanzia 50 inabidi utupie hata ka 40 unafumba macho tu.

Wengine wanafungua group la harusi unashangaa umo tayari inakubidi uchange tu😃😃😃😃
 
Mwezi uliopita Nina group la tuliomaliza chuo kikuu pamoja, walifiwa wawili, wiki iliyopita Nina group la tuliomaliza A level pamoja akifariki member mmoja na member mwingine kafiwa na babake, leo naibuka group la tuliomaliza chuo Tena member kafiwa na babake, hapo Nina harusi sijachanga moja wiki ijayo na nyingine next month.

Hii balaa, kumbuka tunachangia baba au mama mke/mume na watoto endapo watafariki, mie baba na mama Sina, Ila wenzangu naona kila siku baba anakufa unachanga tu, obviously niingechanga tu. Ila magroup yanatesa.

Wakati mwingine nilikuwa coincidence magroup matatu kuna misiba unajikuta unapata hela halafu unaitoa tu inaisha. Maana kwa umri na social status unakuta mkeka watu wameweka kuanzia 50 inabidi utupie hata ka 40 unafumba macho tu.

Wengine wanafungua group la harusi unashangaa umo tayari inakubidi uchange tu😃😃😃😃
Siyo lazima uchangie kila msiba/harusi especially kama uko kwa magroup mengi.
 
Nina groups nyingi, zote ni muhimu kwangu, sipo active sana kwenye kila group Ila nafuata sheria za kila group. Kutoka Secondary hadi chuo, familia hadi ukoo, ujirani hadi kazini, kijijini hadi mjini.

All I can tell, kuwa mtu wa watu Ila kuwa na principles zako, not necessarily uwe mtu wa kuchat, Ila fuata kanuni za group ulilopo. You'll thank me later, unless uwe antisocial!

Ambao tumepitia loss of our loved ones tunaona faida zake coz we participate kwenye magumu ya wenzetu.
 
Unahitaji "social capital" sio kujitenga halafu siku ukihitaji watu nao wakawa busy unaona wana roho mbaya.
 
Shida inaanzia kwa members wa group, unaamka tu unakuta meseji 2000 ukiangalia content ni worthless au umbea au fulani kawekwa kwenye hot seat. Hata kama group is just for fun, at least tafuteni kitu mnachoweza kukifanya mdaidiane kwa kuweka hata Kikoba cha group
 
Najikuta tu siko kwenye group lolote la WhatsApp.

Ukiishi maisha ya kipekee raha sana. Kazini ni mwendo wa salamu, kazi na kicheko kidogo mnatawanyika.

Sijui magroup ya ma classmates sipo, magroup ya waliotoka Kijiji au wilaya au mkoa mmoja simo.

Magroup sijui ya kabila moja simo.

I feel good.
Magroup ni ushamba tu.
 
Kujitenga na jamii ni tatizo na pia kutokana na maisha ya watu wengine mliyoishi kuwa na marafiki wengi ni ngumu unakutana nao chuo tuu muda wote ulikua unajifanya upo busy...kwa hiyo unaona uendelee kuishi maisha yale yale ya kujitenga...
 
Back
Top Bottom