JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 2,091
- 4,716
Mimi kuna siku niliondoka na msichana club nikalala nae kufika asubuhi akanidai hela yake tena kwa timbwili kabisa nikampa hela kidogo nikamuambia mbona jana usiku huukusema kama unaniuzia
Basi kuna siku niko na masela wangu maeneo ya kujidai jamaa moja mdau wa msela wetu moja akaingia na demu wake akamtambulisha kuwa ni mchumba wake na wako kwenye mchakato wa ndoa
Dah hamad yule binti kuniangalia tu alibadilika aligoma kabisa kugeukia upande wangu kabaki kama ana matatizo ya shingo haizunguki
Muda mfupi mdau na demu wake wakaaga wakaondoka ikabidi masela wanikazie wakaniambia hebu tuambie una jambo gani na huyo mchumba wa msela mbona kama kuna tension kati yenu. Ikabidi niwambie ukweli masela kwamba uyo demu aliniuzia papuchi club.
Basi kuna siku niko na masela wangu maeneo ya kujidai jamaa moja mdau wa msela wetu moja akaingia na demu wake akamtambulisha kuwa ni mchumba wake na wako kwenye mchakato wa ndoa
Dah hamad yule binti kuniangalia tu alibadilika aligoma kabisa kugeukia upande wangu kabaki kama ana matatizo ya shingo haizunguki
Muda mfupi mdau na demu wake wakaaga wakaondoka ikabidi masela wanikazie wakaniambia hebu tuambie una jambo gani na huyo mchumba wa msela mbona kama kuna tension kati yenu. Ikabidi niwambie ukweli masela kwamba uyo demu aliniuzia papuchi club.