Ni muhimu kumuogezea kiongozi mkuu ulinzi wa uhakika zaidi kwakuwa adui kadhamiria kutenda maovu

Hii ni dhana pana zaidi na ulinzi si lazima uwe na mbwembwe za misafara mikubwa na migari yenye mitambo ya mawasiliano kila kona

Mkuu mshana jr njoo na mada ya kuomdoa mauzauza ya ndani ya nyumba, majumba yetu yanahitaji ulinzi. Hapa naongelea nimejenga nyumba kumbe pale nilipojenga makaazi ya majini kwahio wameamua kuishi ndani ya nyumba ilio jengwa.


Lunatic
 
Mkuu mshana jr njoo na mada ya kuomdoa mauzauza ya ndani ya nyumba, majumba yetu yanahitaji ulinzi. Hapa naongelea nimejenga nyumba kumbe pale nilipojenga makaazi ya majini kwahio wameamua kuishi ndani ya nyumba ilio jengwa.


Lunatic

Ibada za kutakasa ardhi/makazi
 
Mchakato wa kumpata mkuu wa nchi ni mchakato wenye gharama kubwa. Na anapopatikana mmoja basi jukumu kubwa la kwanza ni afya yake na ulinzi wake!

Kama vile hakuna binadamu anayekosa rafiki, vilevile hakuna binadamu anayekosa adui na rais wa nchi si malaika wala kizuka.. Rais ni binadamu hivyo hata awe mwema vipi hawezi maadui kwakuwa hawezi kuwafurahisha wote ukiachana ma wale 'natural haters' chuki bila sababu!

Kila awamu mpya ya mtawala yeyote yule huja na miongozo mipya ambayo huweza kuathiri makundi fulani kwenye jamii. Athari hizo huwa za matokeo hasi ama chanya! Kuna makundi faidika ambayo huwa kwenye kila awamu ya utawala. Ni makundi haya ambayo awamu ya utawala inapobadilika huwa kwenye hatihati ya kuendelea kula bata kama mwanzo! Haya makundi ndio huwa hatari sana kwa awamu mpya hasa yakiona yanatengwa na kuwekwa pembeni.

Mabadiliko ya kiutawala ngazi ya juu yalitujia kwa ghafla na bila kutarajia na ni katiba pekee iliyosimamiwa kikamilifu ndio iliokoa dhahama kubwa! Lakini ni wazi kuna kundi kwa maslahi binafsi lilitaka kupindua meza. Tuhuma hii haijawahi kukanushwa wala kuthibitishwa popote na yoyote! Imebaki kuwa minong'ono yenye asili hai na inayozidi kupata nguvu kila uchao.

Mabadiliko ya kiutawala yameligusa vilivyo kundi tuhumiwa. Ni wazi halifurahishwi hata chembe na yanayoendelea kwasasa.. Kuna hisia za mapinduzi makubwa yanayofanywa na awamu mpya. Na mapinduzi haya ni mwiba mkali kwa makundi faidika ya utawala ulopita.

Kwenye cycles za ulinzi wa viongozi wakuu kuna cycles kama sita au saba hivi
  • Ulinzi wa kisayansi na kielectroniki
  • Ulinzi wa usalama wa nchi
  • Ulinzi wa majeshi
  • Ulinzi askari polisi
  • Ulinzi wa jeshi la akiba
  • Ulinzi wa kiroho
  • Ulinzi wa askari kanzu na maafisa vipenyo
Hizi cycles zote huchujwa kwa umakini na weledi wa hali ya juu mno kwakuwa kwa saa 24, siku saba za wiki na miezi 12 ya mwaka ndio zinahusika na afya na ulinzi wa kiongozi mtawala mkuu.

Kwa hali hii kama si kuboresha basi ni muhimu kumuogezea kiongozi mkuu ulinzi wa uhakika zaidi kwakuwa ni kama vile adui kadhamiria kutenda maovu ama kukwamisha juhudi chanya za uongozi wa awamu mpya.

Mkuu naunga mkono hoja.

Hasa dhidi ya maadui wa ndani na hasa ndani ya serikali na ndani ya chama mboga mboga.

Lile genge la kikabila ni la kuangalia zaidi kuliko hata ya mabeberu!

Genge hili na vibaraka wao walioko humu JF hawajamkubali mama kama rais wa JMT wala hawajakubali kuwa hii ni awamu ya sita.
 
Mkuu naunga mkono hoja.

Hasa dhidi ya maadui wa ndani na hasa ndani ya serikali na ndani ya chama mboga mboga.

Lile genge la kikabila ni la kuangalia zaidi kuliko hata ya mabeberu!

Genge hili na vibaraka wao walioko humu JF hawajamkubali mama kama rais wa JMT wala hawajakubali kuwa hii ni awamu ya sita.
Genge hili na vibaraka wao walioko humu JF hawajamkubali mama kama rais wa JMT wala hawajakubali kuwa hii ni awamu ya sita.
 
Mchakato wa kumpata mkuu wa nchi ni mchakato wenye gharama kubwa. Na anapopatikana mmoja basi jukumu kubwa la kwanza ni afya yake na ulinzi wake!

Kama vile hakuna binadamu anayekosa rafiki, vilevile hakuna binadamu anayekosa adui na rais wa nchi si malaika wala kizuka.. Rais ni binadamu hivyo hata awe mwema vipi hawezi maadui kwakuwa hawezi kuwafurahisha wote ukiachana ma wale 'natural haters' chuki bila sababu!

Kila awamu mpya ya mtawala yeyote yule huja na miongozo mipya ambayo huweza kuathiri makundi fulani kwenye jamii. Athari hizo huwa za matokeo hasi ama chanya! Kuna makundi faidika ambayo huwa kwenye kila awamu ya utawala. Ni makundi haya ambayo awamu ya utawala inapobadilika huwa kwenye hatihati ya kuendelea kula bata kama mwanzo! Haya makundi ndio huwa hatari sana kwa awamu mpya hasa yakiona yanatengwa na kuwekwa pembeni.

Mabadiliko ya kiutawala ngazi ya juu yalitujia kwa ghafla na bila kutarajia na ni katiba pekee iliyosimamiwa kikamilifu ndio iliokoa dhahama kubwa! Lakini ni wazi kuna kundi kwa maslahi binafsi lilitaka kupindua meza. Tuhuma hii haijawahi kukanushwa wala kuthibitishwa popote na yoyote! Imebaki kuwa minong'ono yenye asili hai na inayozidi kupata nguvu kila uchao.

Mabadiliko ya kiutawala yameligusa vilivyo kundi tuhumiwa. Ni wazi halifurahishwi hata chembe na yanayoendelea kwasasa.. Kuna hisia za mapinduzi makubwa yanayofanywa na awamu mpya. Na mapinduzi haya ni mwiba mkali kwa makundi faidika ya utawala ulopita.

Kwenye cycles za ulinzi wa viongozi wakuu kuna cycles kama sita au saba hivi
  • Ulinzi wa kisayansi na kielectroniki
  • Ulinzi wa usalama wa nchi
  • Ulinzi wa majeshi
  • Ulinzi askari polisi
  • Ulinzi wa jeshi la akiba
  • Ulinzi wa kiroho
  • Ulinzi wa askari kanzu na maafisa vipenyo
Hizi cycles zote huchujwa kwa umakini na weledi wa hali ya juu mno kwakuwa kwa saa 24, siku saba za wiki na miezi 12 ya mwaka ndio zinahusika na afya na ulinzi wa kiongozi mtawala mkuu.

Kwa hali hii kama si kuboresha basi ni muhimu kumuogezea kiongozi mkuu ulinzi wa uhakika zaidi kwakuwa ni kama vile adui kadhamiria kutenda maovu ama kukwamisha juhudi chanya za uongozi wa awamu mpya.

Na wewe umegeuka kuwa watu wa vijiweni
Uandishi wako hauna hoja za msingi zaidi ya umbea na maneno y mtaani. Weka ithibati kwanini unasema hayo unayoyasema.
 
Na wewe umegeuka kuwa watu wa vijiweni
Uandishi wako hauna hoja za msingi zaidi ya umbea na maneno y mtaani. Weka ithibati kwanini unasema hayo unayoyasema.
Asante kwa mtazamo hasi juu ya hii mada! Lakini kuna mahali hujaelewa ama umepotoka ... Ithibati hutakiwa pale penye tuhuma... Je mimi nimeandika tuhuma?
 
Asante kwa mtazamo hasi juu ya hii mada! Lakini kuna mahali hujaelewa ama umepotoka ... Ithibati hutakiwa pale penye tuhuma... Je mimi nimeandika tuhuma?

Umeandika tuhuma nyingi labda kama hujasoma vyema ulichoandika. Pamoja na hilo, kigezo chako cha kushawishi mama apewe ulinzi zaidi ni kipi? Kama kuna hatari ainisha hiyo hatari tuipime sote kama ni hatari au ni mawazo yako ya kuamuka asubuh
 
Umeandika tuhuma nyingi labda kama hujasoma vyema ulichoandika. Pamoja na hilo, kigezo chako cha kushawishi mama apewe ulinzi zaidi ni kipi? Kama kuna hatari ainisha hiyo hatari tuipime sote kama ni hatari au ni mawazo yako ya kuamuka asubuh
Andishi langu hili hapa usisome kws mazonge tafadhali.. Kama uelewa wako ni finyu sema uelimishwe

Mabadiliko ya kiutawala ngazi ya juu yalitujia kwa ghafla na bila kutarajia na ni katiba pekee iliyosimamiwa kikamilifu ndio iliokoa dhahama kubwa! Lakini ni wazi kuna kundi kwa maslahi binafsi lilitaka kupindua meza. Tuhuma hii haijawahi kukanushwa wala kuthibitishwa popote na yoyote! Imebaki kuwa minong'ono yenye asili hai na inayozidi kupata nguvu kila uchao.
 
Andishi langu hili hapa usisome kws mazonge tafadhali.. Kama uelewa wako ni finyu sema uelimishwe

Mabadiliko ya kiutawala ngazi ya juu yalitujia kwa ghafla na bila kutarajia na ni katiba pekee iliyosimamiwa kikamilifu ndio iliokoa dhahama kubwa! Lakini ni wazi kuna kundi kwa maslahi binafsi lilitaka kupindua meza. Tuhuma hii haijawahi kukanushwa wala kuthibitishwa popote na yoyote! Imebaki kuwa minong'ono yenye asili hai na inayozidi kupata nguvu kila uchao.

Tatizo lako umezoea kuandika mashahiri, matokeo yake unapoteza muelekeo. Kwamba” ni wazi kuna kundi kwa maslahi binafsi lilitaka kupindua meza” Hapa umeweka shutuma na ni bora ulitaje hilo kundi vinginevyo wewe ni msema chochote.
Halafu ukaenda kujificha kwenye pazia la “tuhuma hii haijawahi kukanushwa wala kuthibitishwa“ sasa hujion kama haupo sawa kushauri rais apewe ulinzi kwa minongono ya vijiweni ambayo haijawahi kuthibitishwa wala kukanushwa, ni kitu gani hicho Sasa , we jamaa bana, Kuwa makini na unachoandika sio kila kitu ni shairi au mazingaombwe
 
Tatizo lako umezoea kuandika mashahiri, matokeo yake unapoteza muelekeo. Kwamba” ni wazi kuna kundi kwa maslahi binafsi lilitaka kupindua meza” Hapa umeweka shutuma na ni bora ulitaje hilo kundi vinginevyo wewe ni msema chochote.
Halafu ukaenda kujificha kwenye pazia la “tuhuma hii haijawahi kukanushwa wala kuthibitishwa“ sasa hujion kama haupo sawa kushauri rais apewe ulinzi kwa minongono ya vijiweni ambayo haijawahi kuthibitishwa wala kukanushwa, ni kitu gani hicho Sasa , we jamaa bana, Kuwa makini na unachoandika sio kila kitu ni shairi au mazingaombwe
Kwahiyo umeelewa sasa nilichoandika na sio kile ulichotafsiri mwanzo.. Unajaribu kutaka kujenga hoja nzuri lakini mipasho na vijimaneno vya kipuuzi vinakuangusha.. Jifunze kuwa na majibu yenye adabu na staha utajifunza mengi na kuelimika na mengi pia...
Kuna kuitwa GT na kuna kuwa GT hivi ni vitu viwili tofauti kabisa
 
Kwahiyo umeelewa sasa nilichoandika na sio kile ulichotafsiri mwanzo.. Unajaribu kutaka kujenga hoja nzuri lakini mipasho na vijimaneno vya kipuuzi vinakuangusha.. Jifunze kuwa na majibu yenye adabu na staha utajifunza mengi na kuelimika na mengi pia...
Kuna kuitwa GT na kuna kuwa GT hivi ni vitu viwili tofauti kabisa

Hakika sina cha kujifunza kwako kwa namna yoyote. Bado tunabaki pale pale kwamba hoja zako hazina grounds ya maana juu ya kushauri rais apewe ulinzi wa kutosha kuliko aliokuwa nao sasa. Kwanza unaifundisha idara kazi, na ni dhahiri uliandika hii kitu yako kwa maneno ya vijiweni.
 
Hakika sina cha kujifunza kwako kwa namna yoyote. Bado tunabaki pale pale kwamba hoja zako hazina grounds ya maana juu ya kushauri rais apewe ulinzi wa kutosha kuliko aliokuwa nao sasa. Kwanza unaifundisha idara kazi, na ni dhahiri uliandika hii kitu yako kwa maneno ya vijiweni.
Hapana tayari umeanza kujifunza kitu hapa.. Linganisha replies zako za nyuma na hii hapa..! Kuna tofauti kubwa!

Kuhusu kuifundisha idara kazi hapa pia umepotoka ama kuna vitu huvijui... Iko hivi....IDARA iko popote na wakati wote hunusa, hunasa na kupokea kila taarifa ...HAIACHI KITU! Kisha kila taarifa huwekwa kwenye kundi lake kulingana ma uzito wake
Huku unakoita vijiweni IDARA imewekeza mpaka huko na inachota taarifa za kutosha huko... Hufahamu na hujui nguvu ya taarifa za vijiweni wewe ..!

 
Bashiru hana raha, hana amani kutokana na kuhusishwa na madudu kadhaa kwenye ugonjwa na msiba wa mwendazake. Yeye anajitetea mbele ya wazee wastaafu na maprofesa wastaafu kuwa Mwanasheria Mkuu (AG) ndiye aliwapotosha msiba ulipotokea.

Aliwashauri wenzake kwamba mambo ya kumwapisha Samia kuwa rais yangeweza kufanyika baada ya mazishi. Kauli hiyo ikatafsiriwa kuwa yeye Bashiru anathubutu kuzuia Samia kuwa rais. AG akakaa kimya kabisa. Bashiru amemchukia sana AG. Kunahitaji upatanisho.

Bashiru anakana kuhusika na ukwapuaji wa fedha BoT. Kumekuwa na tuhuma kuwa yeye, Mpango, Dotto na Dr. Mchembe (daktari wa JPM) walichota fedha BoT wakati wa ugonjwa na msiba wa JPM. Samia aliagiza ripoti ya ukaguzi toka kwa CAG inayoonyesha matumizi Kati ya Jan na Machi.

Uteuzi wa Bashiru kuwa Katibu Mkuu Kiongozi ulitia shaka. Yeye anadai hakuwa consulted na JPM. Alimwita usiku kumwambia kesho yake anamteua. Na siku ya kuapishwa, JPM alikuwa tayari anaumwa. Alitokea kwenye drip kuja kumwapisha. Baada ya kuapishwa Bashiru hakukutana naye tena

Kwa muda ambao JPM hajazidiwa kabisa, Bashiru alikuwa anapewa maelekezo yote kwa simu.

Bashiru anadai kuwa alilalamika kwa JPM kwamba watu, hata ndani ya chama chake, wananung'unika kuwa anamuandaa kuwa mgombea 2025; JPM akajibu, "kuna ubaya gani?"

Bashiru anawaambia baadhi ya mabalozi rafiki zake na maprofesa wa UDSM kuwa ni kweli JPM alizungukwa na "majizi na majambazi" ndani na nje ya Ikulu; kwamba JPM alishayajua lakini hakuweza kuyashughulikia kwa vile alishawekeza muda na mali kuyajenga na kuyatetea hadhrani.

Dk Mchemba alikuwa daktari wa JPM siku za mwisho akichukua nafasi ya Dk Ng'wale aliyehamishiwa kwa First Lady. Alikuwa CEO wa Hospital ya Mzena. Pia ni ofisa TISS. Alishika nafasi zote 3 kwa amri ya JPM. Alienda BoT na Dotto wakiwa na saini ya Mpango wakamzonga Gavana.

Taarifa zinasema tayari Dk Mchemba amefutwa kazi na amenyang'anywa kitambulisho cha TISS baada ya "kusota ndani."

Hapo hapo kuna bifu la Bashiru dhidi yaMufti Mkuu. Bashiru anadai kuwa wakati serikali inasita kutangaza msiba wa JPM, Mufti alitumia vibaya muda huo Mufti Zubeir alikuwa rafiki wa JPM. Na alimtumia katika mengi. Baada JPM kufariki dunia, kabla ya kifo kutangazwa, Dk. Mchembe na kundi lake walimdanganya Mufti awasaidie kumshauri Samia ajiuzuru umakamu kwa hoja kuwa JPM akitoka hospital anamfukuza kazi bila kujali katiba
Walitaka Samia kwanza ajiuzuru ndipo watangaze msiba, ili apatikane mwanaume mwenzao ashike uongozi wa nchi. Samia alikataa. Ikumbukwe Mufti ndiye alikuwa anatumwa na DPP kwenda mahabusu kushawishi watu wakiri makosa (plea bargain). Wengine walikuwa wanampa hela ampelekee DPP.

Bashiru anamshangaa Samia kwa kumteua DPP kuwa Jaji. Anamuona kama mmoja wa majangili ya utawala wa JPM. Anampongeza Former DGIS Robert Makungu (RAS TABORA) kuwa ni mtu mwadilifu anayefa kuwa DG wa TISS
Kisa, eti Makungu alimheshimu sana JPM ila fitna zilimfanya rais asigundue uadilifu wa Makungu. Bashiru anamlaumu sana Kabudi kwa kumshauri vibaya JPM kuhusu jumuiya ya kimataifa. Ndiye alimzuia rais kumwajibisha Makonda kwa madai kuwa atawapa kiburi Wamarekani

Bashiru anasema kuwa Makonda ni kiumbe mchafu kuliko kitu chochote duniani.
Anatamba kuwa yeye na JPM walirejesha mali za chama na kukusanya mapato makubwa. Waliendesha uchaguzi bila kutegemea misaada ya wafadhili na wakibakiwa na salio zaidi 20bn. kwenye account ya chama

Bashiru anajiandaa kuandika kitabu ili kujisafisha. Anamwona JK kama adui wa taifa. Eti alimzonga sana JPM wakati wote mpaka akatishia kususia Ikulu na kwenda kuishi Chato; na kwamba Rais Museveni ndiye alisaidia "kumrejesha." Kifupi, Bashiru aweza hata kujinyonga! He's stressed!
#SautiKubwa
 

Jenerali Mabeyo: Tulimpoteza Rais Magufuli, tulisimama kidete kama Jeshi kulinda Katiba
 
Back
Top Bottom