saa ingine kuambiwa inabidi, maana wengine wanajua kujikausha kama kapigwa shoti...unachoka bureee, mwenzio macho makavuu hata hayalegei!!Kuambiwa hainogi, bora upatafute mwenyewe...
Lakini wanwake bana wanapenda raha wapewe wao tu mara nyingi.:A S embarassed: