Ni muda wa wapinzani kujitathimini na kijitafakari kama wanastahiki kuendelea na nafasi zao

Babafetty

Senior Member
Nov 11, 2013
107
107
Habari,

Kwa mtizamo wangu upinzani wa Tanzania umekua na hali ngumu,
kuna kipindo walifanya kazi nzuri sanaa, waliweza kuwasemea wanyonge, kutetea makundi maalum, kukumea matumizi mabaya ya viongozi, walikua wanajielewa, hasa kile kipindi cha Dr. Slaa (Chadema) na Prof.Lipumba (CUF).

ila hapa kat kat wapinzani sijui wameingiwa na nn, wamesahau majukumu yao, wameshindwa kabsa kutekeleza majukumu yao. Matokeo yake wamekuwa wakilalamikia kubanwa uhuru wa kujieleza, matumizi mabaya ya dola na kuongiliwa kwa mihimili ya serikali.

Ila kwa mtazamo wang, naona hilo sio tatzo, wanatakiwa kutafuta njia mbadala itakayowawezesha kuibana serikali na chama kutekeleza majukumu yake,
Haiwezekani ifike sehem wapinzan wote waishiwe hoja wawe wana attend session mahakamani na vituo vya polisi.

Kaeni km wanasiasa fanyeni uchambuzi mkiangalia mazuri na mapungufu ya awamu hii, kisha andaeni mikakati tokana na mapungufu mliyoyaona. huku kulalamika hakuta wasaidia zaidi ya kupoteza imani kwa wananchi.

Kuwa mpinzani sio uovu, ila ni wito ulioambatana na mtazamo tofauti wa uendeshaji shughuli za serikali

[HASHTAG]#freemanMbowe[/HASHTAG], # Zitokabwe # JuliusMtatiro.

Hongera H. Polepole.
20180428_150401.jpg
20180428_150811.jpg
20180428_150905.jpg
 
Hapana! Mimi naona watanzania tuombe kibali cha kufanya maandamano ya amani. Kupinga ufinyu wa uhuru, uonevu wa askari kwa raia. Kupinga mwenendo wa serikali ya 5
 
Habari,

Kwa mtizamo wangu upinzani wa Tanzania umekua na hali ngumu,
kuna kipindo walifanya kazi nzuri sanaa, waliweza kuwasemea wanyonge, kutetea makundi maalum, kukumea matumizi mabaya ya viongozi, walikua wanajielewa, hasa kile kipindi cha Dr. Slaa (Chadema) na Prof.Lipumba (CUF).

ila hapa kat kat wapinzani sijui wameingiwa na nn, wamesahau majukumu yao, wameshindwa kabsa kutekeleza majukumu yao. Matokeo yake wamekuwa wakilalamikia kubanwa uhuru wa kujieleza, matumizi mabaya ya dola na kuongiliwa kwa mihimili ya serikali.

Ila kwa mtazamo wang, naona hilo sio tatzo, wanatakiwa kutafuta njia mbadala itakayowawezesha kuibana serikali na chama kutekeleza majukumu yake,
Haiwezekani ifike sehem wapinzan wote waishiwe hoja wawe wana attend session mahakamani na vituo vya polisi.

Kaeni km wanasiasa fanyeni uchambuzi mkiangalia mazuri na mapungufu ya awamu hii, kisha andaeni mikakati tokana na mapungufu mliyoyaona. huku kulalamika hakuta wasaidia zaidi ya kupoteza imani kwa wananchi.

Kuwa mpinzani sio uovu, ila ni wito ulioambatana na mtazamo tofauti wa uendeshaji shughuli za serikali

[HASHTAG]#freemanMbowe[/HASHTAG], # Zitokabwe # JuliusMtatiro.

Hongera H. Polepole.View attachment 758947View attachment 758950View attachment 758951


Haya basi wameondoka kwenye nafasi zao,wewe ndio uondoke CCM uje uendeshe upinzani?

Hypocrites!
 
Back
Top Bottom