Ni muda sahihi Rais Samia kutupatia Katiba Mpya kwa manufaa mema ya Taifa letu

Afcon 2027

JF-Expert Member
Jan 10, 2020
309
578
So far Rais Samia Suluhu Hassan amefanya mambo mengi ya kimaendeleo na ameona hali ya kisiasa nchini(to me, mama Hana deni at all, ameeendeleza miradi na kutuletea maendeleo, Amewajua fake and real kwa nchi yetu, briefly hana cha kupoteza)

Naamini mama aliletwa kwa mipango ya Mungu ya kuifanya nchi yetu ifike Caanan kwa tupatia katiba mpya na kutengeneza nchi yetu for our own good.

Nilikuwa najiuliza kwanini wengine washindwe ila niligundua ni kwasababu ya watu walowaweka madarakani hawataki transformation. Naamini mama unaweza kufanya mengi including katiba mpya for the success of our country.
 
So far Rais Samia Suluhu Hassan amefanya mambo mengi ya kimaendeleo na ameona hali ya kisiasa nchini(to me, mama Hana deni at all, ameeendeleza miradi na kutuletea maendeleo, Amewajua fake and real kwa nchi yetu, briefly hana cha kupoteza)

Naamini mama aliletwa kwa mipango ya Mungu ya kuifanya nchi yetu ifike Caanan kwa tupatia katiba mpya na kutengeneza nchi yetu for our own good.

Nilikuwa najiuliza kwanini wengine washindwe ila niligundua ni kwasababu ya watu walowaweka madarakani hawataki transformation. Naamini mama unaweza kufanya mengi including katiba mpya for the success of our country.

Wakati Gen Z Kenya wakipata wanachotaka, makamanda tuendeleeni kusubiria dodo kwenye mnazi!
 
So far Rais Samia Suluhu Hassan amefanya mambo mengi ya kimaendeleo na ameona hali ya kisiasa nchini(to me, mama Hana deni at all, ameeendeleza miradi na kutuletea maendeleo, Amewajua fake and real kwa nchi yetu, briefly hana cha kupoteza)

Naamini mama aliletwa kwa mipango ya Mungu ya kuifanya nchi yetu ifike Caanan kwa tupatia katiba mpya na kutengeneza nchi yetu for our own good.

Nilikuwa najiuliza kwanini wengine washindwe ila niligundua ni kwasababu ya watu walowaweka madarakani hawataki transformation. Naamini mama unaweza kufanya mengi including katiba mpya for the success of our country.
Sidhani kama anayo nia hiyo
 
Hakuna nayo mwanzon
Ila Kwa mchezo unavyoendelea kajifunza mengi (aliowaamini wamegeuka traitors)...Hana Cha kulose zaidi ya kuwaletea maendeleo watanzania
Tulimashauri sana kuwa Katiba Mpya hata yeye itamsaidia. Ona sasa
 
Hakua nayo mwanzon
Ila Kwa mchezo unavyoendelea kajifunza mengi (aliowaamini wamegeuka traitors)...Hana Cha kulose zaidi ya kuwaletea maendeleo watanzania
Mkuu, tena akileta Katiba Mpya atakumbukwa kama Mwalimu anavyo kumbukwa, na anaweza kuitwa Mana wa Taifa.
 
Back
Top Bottom