Ni muda muafaka wa Spika Ndugai kuachia ngazi kwa hiari kwa kushindwa kulisimamia Bunge

Kilombelo

Member
May 27, 2021
98
127
Hodi wanajamvi,

Ambaye hajachoshwa na Ndugai anyoshe mkono ama afanye kama anajikuna tu ili tumuone hapa.

Sipika wetu Ni Kati ya watu wasioweza kusimama Kwenye msimamo mmoja.

Kipindi cha Hayati JPM kuhusu bandari ya Bagamoyo, alikaa kimya lakini Leo ndio mpiga Debe wa hiyo Bandari, tumweleweje?

Leo Anasema, Hayati hakushauriwa vizuri, yeye kama mhimili na msimamizi na mshauri mkuu wa serikali mbona hakufanya hivyo?

Aliruhusu Bunge kupitisha Sheria ya mifugo pindi ikiingia Kwenye hifadhi itaifishwe, Leo anajishangaa, aachie ngazi mara moja, kama anasahau Hadi kazi zake, kwani iko siku atakuja kupitisha Sheria ya wananchi kulala saa 10:39 jioni badala ya muda wa kawaida kulala.

Bunge limemshinda haeleweki, Tusisahau na zile pesa zilizotumika Kwenye matibabu yake na wakati huo huo mwenzake alipopatwa ajali ya kupigwa risasi alikataa Matumizi yaleyale aliyofanyiwa yeye, ajihudhuru aisee.

Ndugai, tunza hako kaheshima ulikobaki nako, Ng'ooooka hapo Kwenye kiti hicho.

Halafu Kwa mbaaali ni kama kanafanya kikampeni uchwara cha kuona kama atapata kibali ili wananchi tumuone anafaaa, sjui kanampango wa kuchukua fomu?
 
Kama Spika Ndugai anakiri kuwa bunge zima lilipitisha sheria mbovu/ mbaya ya mifugo kutaifishwa ikiingia hifadhini basi huenda bunge limeshafanya madudu mengi sana.

Ndugai anadai huenda wabunge walikuwa wamelala usingizi wakati wa kupitisha sheria hiyo inaonyesha jinsi bungeni pasivyo na umakini kabisa.

Nashawishika kuamini hata akina Halima Mdee na wenzake huenda waliapishwa Spika akiwa usingizini bila kujua atendalo.

Kazi Iendelee!
 
Nimejifunza kwamba wenye shida kichwani ni wabunge waliompigia kura
Wabunge wenye ni Kama hawa unategemea nini hahahaa bunge lazima liwe la vilaza tu.
 
Ila ukweli Bunge siku hizi limepoteza sana ile hadhi yake. Zamani ukiambiwa huyu ni mbunge hata akiongea tu unaona huyu kweli ni mbunge. Nafikiri moja ya makosa makubwa ilikuwa ni kuwaengua wapinzani kihuni, matokeo yake bunge limepata wabunge wengi wa hovyo hovyo tu. Hii miaka 5 ni ya hasara tupu.
 
Kama Spika Ndugai anakiri kuwa bunge zima lilipitisha sheria mbovu/ mbaya ya mifugo kutaifishwa ikiingia hifadhini basi huenda bunge limeshafanya madudu mengi sana.

Ndugai anadai huenda wabunge walikuwa wamelala usingizi wakati wa kupitisha sheria hiyo inaonyesha jinsi bungeni pasivyo na umakini kabisa.

Nashawishika kuamini hata akina Halima Mdee na wenzake huenda waliapishwa Spika akiwa usingizini bila kujua atendalo.

Kazi Iendelee!
Posho chelewa tupate madini
 
Hodi wanajamvi,

Ambaye hajachoshwa na Ndugai anyoshe mkono ama afanye kama anajikuna tu ili tumuone hapa.

Sipika wetu Ni Kati ya watu wasioweza kusimama Kwenye msimamo mmoja.

Kipindi cha Hayati JPM kuhusu bandari ya Bagamoyo, alikaa kimya lakini Leo ndio mpiga Debe wa hiyo Bandari, tumweleweje?

Leo Anasema, Hayati hakushauriwa vizuri, yeye kama mhimili na msimamizi na mshauri mkuu wa serikali mbona hakufanya hivyo?

Aliruhusu Bunge kupitisha Sheria ya mifugo pindi ikiingia Kwenye hifadhi itaifishwe, Leo anajishangaa, aachie ngazi mara moja, kama anasahau Hadi kazi zake, kwani iko siku atakuja kupitisha Sheria ya wananchi kulala saa 10:39 jioni badala ya muda wa kawaida kulala.

Bunge limemshinda haeleweki, Tusisahau na zile pesa zilizotumika Kwenye matibabu yake na wakati huo huo mwenzake alipopatwa ajali ya kupigwa risasi alikataa Matumizi yaleyale aliyofanyiwa yeye, ajihudhuru aisee.

Ndugai, tunza hako kaheshima ulikobaki nako, Ng'ooooka hapo Kwenye kiti hicho.

Halafu Kwa mbaaali ni kama kanafanya kikampeni uchwara cha kuona kama atapata kibali ili wananchi tumuone anafaaa, sjui kanampango wa kuchukua fomu?
Huyu ni siyo wa kujihuzulu pekee anatakiwa kushitakiwa kwa uhujumu uchumi
 
^Serikali imeshindwa kabisa; tuwapatie watu binafsi waendeshe^ ~ Spika Kazi Ndugai.

JKN: ^Mwanangu, kwa mtindo huu wa ubinafsishaji, muda si mrefu tutasikia umebinafsisha hadi jeshi!!!^
 
Hodi wanajamvi,

Ambaye hajachoshwa na Ndugai anyoshe mkono ama afanye kama anajikuna tu ili tumuone hapa.

Sipika wetu Ni Kati ya watu wasioweza kusimama Kwenye msimamo mmoja.

Kipindi cha Hayati JPM kuhusu bandari ya Bagamoyo, alikaa kimya lakini Leo ndio mpiga Debe wa hiyo Bandari, tumweleweje?

Leo Anasema, Hayati hakushauriwa vizuri, yeye kama mhimili na msimamizi na mshauri mkuu wa serikali mbona hakufanya hivyo?

Aliruhusu Bunge kupitisha Sheria ya mifugo pindi ikiingia Kwenye hifadhi itaifishwe, Leo anajishangaa, aachie ngazi mara moja, kama anasahau Hadi kazi zake, kwani iko siku atakuja kupitisha Sheria ya wananchi kulala saa 10:39 jioni badala ya muda wa kawaida kulala.

Bunge limemshinda haeleweki, Tusisahau na zile pesa zilizotumika Kwenye matibabu yake na wakati huo huo mwenzake alipopatwa ajali ya kupigwa risasi alikataa Matumizi yaleyale aliyofanyiwa yeye, ajihudhuru aisee.

Ndugai, tunza hako kaheshima ulikobaki nako, Ng'ooooka hapo Kwenye kiti hicho.

Halafu Kwa mbaaali ni kama kanafanya kikampeni uchwara cha kuona kama atapata kibali ili wananchi tumuone anafaaa, sjui kanampango wa kuchukua fomu?

Ndugai hajawahi kukataa mradi wa bagamoyo since day one

Ww itakuwa ni mgen na umekuja na muhaho
 
1622183356602.png
 
Wabunge wenye ni Kama hawa unategemea nini hahahaa bunge lazima liwe la vilaza tu.
Wabunge ngono kwanza, ndiyo watuletee maendeleo!!!

Mamlaka zinazowapitisha ndizo zenye shida, zinaweka maslahi binafsi mbele
 
Hodi wanajamvi,

Ambaye hajachoshwa na Ndugai anyoshe mkono ama afanye kama anajikuna tu ili tumuone hapa.

Sipika wetu Ni Kati ya watu wasioweza kusimama Kwenye msimamo mmoja.

Kipindi cha Hayati JPM kuhusu bandari ya Bagamoyo, alikaa kimya lakini Leo ndio mpiga Debe wa hiyo Bandari, tumweleweje?

Leo Anasema, Hayati hakushauriwa vizuri, yeye kama mhimili na msimamizi na mshauri mkuu wa serikali mbona hakufanya hivyo?

Aliruhusu Bunge kupitisha Sheria ya mifugo pindi ikiingia Kwenye hifadhi itaifishwe, Leo anajishangaa, aachie ngazi mara moja, kama anasahau Hadi kazi zake, kwani iko siku atakuja kupitisha Sheria ya wananchi kulala saa 10:39 jioni badala ya muda wa kawaida kulala.

Bunge limemshinda haeleweki, Tusisahau na zile pesa zilizotumika Kwenye matibabu yake na wakati huo huo mwenzake alipopatwa ajali ya kupigwa risasi alikataa Matumizi yaleyale aliyofanyiwa yeye, ajihudhuru aisee.

Ndugai, tunza hako kaheshima ulikobaki nako, Ng'ooooka hapo Kwenye kiti hicho.

Halafu Kwa mbaaali ni kama kanafanya kikampeni uchwara cha kuona kama atapata kibali ili wananchi tumuone anafaaa, sjui kanampango wa kuchukua fomu?
Spika anaishi kwa kujipendekeza na siyo kufuata sheria
 
Back
Top Bottom