Patriot
JF-Expert Member
- Feb 11, 2008
- 5,698
- 4,693
Akazungumzie mkoa wa Dar au nchi ya Tanzania? Unamuomba aende kwa title ipi na akienda utafaidika nini kuona mkuu wa mkoa mmoja anazungumza kati wa wakuu 31? Akili nyingine taaaabu!baada ya lissu kumsikia kushiriki BBC HARD TALK na majibu makonda kwa lissu aliyoweza kuzungumzaa.. ..
safari hiii tungependa kusikiaa ndugu MAKONDA kumuona katika bbc hard talk ili tuweze kusikiaa upande wa piliiii wanasemaje .
nawasilisha hojaaa
Sent using Jamii Forums mobile app