Ni Muda muafaka sasa serikali kuhalalisha kilimo na matumizi ya bangi/marijuana

The Wolf

JF-Expert Member
Sep 10, 2013
9,293
20,256
Faida ni nyingi kuliko hasara, kama wameweza kuhalalisha matumizi ya tumbaku ambayo ima madhara makubwa kiafya zaidi ya bangi.

Faida za mmea huu ni kama zifuatazo

1. Kuiingizia nchi na mkulima mapato

Kilimo cha bangi kinaweza kuingizia nchi mapato endapo itazalishwa kwa ubora na wingi, tunaweza ku export kwenye nchi ambazo uzalishaji wake unasua sua. Ubora wa bangi upo kwenye effects zake tunaweza kuwekeza kwenye research tujue ni namna gani na maeno gani yanafaa kwa bangi bora. Nchi inakosa mapato mengi kwasababu hata walivyoikataza zinalimwa ekari za kutosha bado

Tunaweza kufungua viwanda vya kukausha na ku pack bangi kama ilivyo vya sigara

2. Ni nzuri kwa matumizi ya kiafya

Bangi ina faida nyingi kiafya kuliko tumbaku/sigara. Banginhaina vichocheo vinavyosababisha kansa ya mapafu, na pia tafiti mbalimbali zinaonyesha matumizi ya bangi yanasaidia kuzuia kifafa, kutibu glaucoma, kuzuia kansa kusambaa mwilini, kupunguza msongo wq mawazo, kusaidia metabolism, hivyo kupunguza unene na magonjwa yanayoambatana na hayo n.k

3. Bangi inasaidia katika kuchochea ubunifu, inachochea brain to function extra

4. Starehe kwa mvutaji

Wenzetu wameanza, wanaona umuhimu wake tusiwe wa mwisho na kukosa fursa zitokanazo na zao hili.

Nawasilisha
 
Faida ni nyingi kuliko hasara, kama wameweza kuhalalisha matumizi ya tumbaku ambayo ima madhara makubwa kiafya zaidi ya bangi.

Faida za mmea huu ni kama zifuatazo

1. Kuiingizia nchi na mkulima mapato

Kilimo cha bangi kinaweza kuingizia nchi mapato endapo itazalishwa kwa ubora na wingi, tunaweza ku export kwenye nchi ambazo uzalishaji wake unasua sua. Ubora wa bangi upo kwenye effects zake tunaweza kuwekeza kwenye research tujue ni namna gani na maeno gani yanafaa kwa bangi bora. Nchi inakosa mapato mengi kwasababu hata walivyoikataza zinalimwa ekari za kutosha bado

Tunaweza kufungua viwanda vya kukausha na ku pack bangi kama ilivyo vya sigara

2. Ni nzuri kwa matumizi ya kiafya

Bangi ina faida nyingi kiafya kuliko tumbaku/sigara. Banginhaina vichocheo vinavyosababisha kansa ya mapafu, na pia tafiti mbalimbali zinaonyesha matumizi ya bangi yanasaidia kuzuia kifafa, kutibu glaucoma, kuzuia kansa kusambaa mwilini, kupunguza msongo wq mawazo, kusaidia metabolism, hivyo kupunguza unene na magonjwa yanayoambatana na hayo n.k

3. Bangi inasaidia katika kuchochea ubunifu, inachochea brain to function extra

4. Starehe kwa mvutaji

Wenzetu wameanza, wanaona umuhimu wake tusiwe wa mwisho na kukosa fursa zitokanazo na zao hili.

Nawasilisha
Ntarudi soon


Send from Jamaica
 
kuna mpuuzi mmoja kaanzisha Uzi kabisa kisa kamuona harmonize ana vuta bangi
 
kuna mpuuzi mmoja kaanzisha Uzi kabisa kisa kamuona harmonize ana vuta bangi
Ina maana na mahakama na jeshi la polisi nao ni wapuuzi pia kwa kukataza na kukamata wanaotumia bangi??? Waliomkamata Wema Sepetu na Masogange na kuwakuta na hatia ya kutumia bangi???

Acha u amber-rutty wewe.
 
Mi naishangaa sana nchi yangu kwa kutunyima huu uhuru wa kula mmea..hela yako mwili wako bangi yako lakin kuivuta mpaka ujifiche chooni ndo maana watu tunadata..#FREEWEED
 
Naunga mkono mpaka tumbo, Binafsi bora nikose msosi kuliko kukosa kuvuta Ushuhuda, Nikivuta napata utulivu A. Au sio mbaya wangetoa vibali kwa watu wenye kuitaji, Binafsi nipo ladhi kulipia kibali kwa Mwaka hata 100,000.

Serikali tulivu sikivu ikiruhusu itabadilisha Maisha vijiji vingi na kupata Pesa za kigeni na kuitangaza Tanzania katika Ramani ya Dunia zaidi na kupata Watalii wengi zaidi.

Hongera sana Mbunge Msukuma binafsi nakuona kama kiongozi wa mfano, Mungu akujalie kaka na fahamu kuna watu tupo nyuma yako.

Kosa kubwa nalo lifanya katika Serikali yangu ni kuvuta Ushuhuda, hapa nimeacha kwasababu nathamini Sheria na Taratibu za Nchi yangu.

Toka niache sina mood na kufanya kazi, Nafsi yangu haina rahaa nahisi kama nadaiwa. Pili wachawi wana nisumbua sana toka nistop, Nakumbuka wakati navutaa nilikuwa silali mpaka nifikirie siku yangu ilikuwaje? Nini na nini nifanye kesho na mwisho nilikuwa siwezi kufanya upuuzi uku nikiwa najua huu ni upuuzi.

Ila nashukuru Ushuhuda umenipa mwelekeo mkubwa ikiwemo kuwa Baba house maana wakati namake sikuogopa mvua wala jua watu wakajua Chizi, kipindi iki cha joto sijui kama Dar kuna joto maana nasikia kwenye vyombo vya Habari tu. Home kipupwe cha Ujapan na barabarani kipupwe cha Japan full raha.
 
Wakulima wa bangi kamaa mko humu ujumbe huu uwafikie,acheni kilimo cha kizamani,badilikeni,tumieni mbegu bora na zinazostawi kwa muda mfupi kama wanazotumia wenzenu wa sauzi na kwengineko,mbona wakulima wa matikiti wamejirekebisha wanatumia mbegu bora na ya muda mfupi na faida tunaiona,na tabia yenu ya kuivuna kabla haijakomaa pia muache kama mnaharaka sana tumieni mbegu bora za miezi mitatu,watu wanapagawa sio sababu ya kuvuta bangi bali kwa sababu ya kuvuta bangi iliyochini ya kiwango.nawasilisha.
 
Wakulima wa bangi kamaa mko humu ujumbe huu uwafikie,acheni kilimo cha kizamani,badilikeni,tumieni mbegu bora na zinazostawi kwa muda mfupi kama wanazotumia wenzenu wa sauzi na kwengineko,mbona wakulima wa matikiti wamejirekebisha wanatumia mbegu bora na ya muda mfupi na faida tunaiona,na tabia yenu ya kuivuna kabla haijakomaa pia muache kama mnaharaka sana tumieni mbegu bora za miezi mitatu,watu wanapagawa sio sababu ya kuvuta bangi bali kwa sababu ya kuvuta bangi iliyochini ya kiwango.nawasilisha.

Kabisa mkuu, ni muda muafaka wa kusaka soko la nje serikali iangalie hili
 
Kabisa mkuu, ni muda muafaka wa kusaka soko la nje serikali iangalie hili
Mkuu kwa quality ya bangi tunayolima hivi sasa soko tunaloweza kupata labda ni kenya tu na ndio soko letu la muda mrefu,si wenyewe tunaimport highgrade kutoka malawi,south africa,lesotho na swaziland.
 
Mkuu kwa quality ya bangi tunayolima hivi sasa soko tunaloweza kupata labda ni kenya tu na ndio soko letu la muda mrefu,si wenyewe tunaimport highgrade kutoka malawi,south africa,lesotho na swaziland.

Sasa mkuu hapa si ndio inabidi tuwekezebhata kwenye GMO, tupate mazao bora kabisa, house boy alienda kwao nikamuagiza hii kitu ya malawi kwa kweli ni grade nyingine huwezi kufananisha na cha dom au chuga, wenzetu walishajiongeza kitambo,

Last year nilishusha mimea minne home kwa kuchambua tuu zile mbegu zikaota basi nimeamua kuihamishia chumbani karibu na dirisha kabisa
 
Faida ni nyingi kuliko hasara, kama wameweza kuhalalisha matumizi ya tumbaku ambayo ima madhara makubwa kiafya zaidi ya bangi.

Faida za mmea huu ni kama zifuatazo

1. Kuiingizia nchi na mkulima mapato

Kilimo cha bangi kinaweza kuingizia nchi mapato endapo itazalishwa kwa ubora na wingi, tunaweza ku export kwenye nchi ambazo uzalishaji wake unasua sua. Ubora wa bangi upo kwenye effects zake tunaweza kuwekeza kwenye research tujue ni namna gani na maeno gani yanafaa kwa bangi bora. Nchi inakosa mapato mengi kwasababu hata walivyoikataza zinalimwa ekari za kutosha bado

Tunaweza kufungua viwanda vya kukausha na ku pack bangi kama ilivyo vya sigara

2. Ni nzuri kwa matumizi ya kiafya

Bangi ina faida nyingi kiafya kuliko tumbaku/sigara. Banginhaina vichocheo vinavyosababisha kansa ya mapafu, na pia tafiti mbalimbali zinaonyesha matumizi ya bangi yanasaidia kuzuia kifafa, kutibu glaucoma, kuzuia kansa kusambaa mwilini, kupunguza msongo wq mawazo, kusaidia metabolism, hivyo kupunguza unene na magonjwa yanayoambatana na hayo n.k

3. Bangi inasaidia katika kuchochea ubunifu, inachochea brain to function extra

4. Starehe kwa mvutaji

Wenzetu wameanza, wanaona umuhimu wake tusiwe wa mwisho na kukosa fursa zitokanazo na zao hili.

Nawasilisha
Itashuka na bei
 
Sasa mkuu hapa si ndio inabidi tuwekezebhata kwenye GMO, tupate mazao bora kabisa, house boy alienda kwao nikamuagiza hii kitu ya malawi kwa kweli ni grade nyingine huwezi kufananisha na cha dom au chuga, wenzetu walishajiongeza kitambo,

Last year nilishusha mimea minne home kwa kuchambua tuu zile mbegu zikaota basi nimeamua kuihamishia chumbani karibu na dirisha kabisa

Mkuu wala hakuna haja ya mbegu za GMO,wafanye tu kama ulivyofanya wewe.wachukue mbegu kutoka malawi na kwengineko kwenye dawa nzuri,mi nimepanda za lesotho nimeweka dirishani zinaendelea kukua,hyo yako ikikomaa ulete mrejesho mkuu walau nije unigaie gram kadhaa nimemiss kitu cha malawi sema sina wakumtuma tu.
 
Unajua toka Mkulu alipopiga marufuku polisi kuchoma mashamba ya bangi hakuna tena watu wanaokamatwa ama kwa kulima au kuuza au hata kuvuta bangi! Pengine tunaelekea kwenye uhalalishaji wa weed
 
Ina maana na mahakama na jeshi la polisi nao ni wapuuzi pia kwa kukataza na kukamata wanaotumia bangi??? Waliomkamata Wema Sepetu na Masogange na kuwakuta na hatia ya kutumia bangi??? Bila shaka ndo wewe fala ulie anzisha ule Uzi Faken weye

Acha u amber-rutty wewe.
 
4 Reactions
Reply
Back
Top Bottom