chiembe
JF-Expert Member
- May 16, 2015
- 11,959
- 20,529
Sasa wakati muafaka Chama chetu pendwa kipeleke mabadiliko ya sheria kuruhusu wafungwa wapige kura.
Hawa ni watanzania wenzetu na ni haki yao ya msingi.
Nadhani wapinzani hawatachukulia kuwa kura za wafungwa zitakuwq zinapigwa kwa mashinikizo au Rais atapendelea magereza ambayo yanampa kura nyingi pale anapotoa msamaha kwa wafungwa,tushughulikie changamoto ya mawakala wa vyama gerezani na kuzuia siasa za kianaharakati magerezani
Hawa ni watanzania wenzetu na ni haki yao ya msingi.
Nadhani wapinzani hawatachukulia kuwa kura za wafungwa zitakuwq zinapigwa kwa mashinikizo au Rais atapendelea magereza ambayo yanampa kura nyingi pale anapotoa msamaha kwa wafungwa,tushughulikie changamoto ya mawakala wa vyama gerezani na kuzuia siasa za kianaharakati magerezani