tramadol JF-Expert Member Oct 10, 2015 5,383 4,317 Oct 15, 2017 Thread starter #22 cejo said: na tusimsahau comrade kinana pia kwenye maombi maana mara atumwe kwenda tiba, mara atumwe kwenda kumwona ndugu anaumwa.. Click to expand... Mtoto wake anaumwa South Africa hayupo kwenye raha kabisa.
cejo said: na tusimsahau comrade kinana pia kwenye maombi maana mara atumwe kwenda tiba, mara atumwe kwenda kumwona ndugu anaumwa.. Click to expand... Mtoto wake anaumwa South Africa hayupo kwenye raha kabisa.
C cejo JF-Expert Member Mar 30, 2014 496 404 Oct 15, 2017 #23 tramadol said: Mtoto wake anaumwa South Africa hayupo kwenye raha kabisa. Click to expand... pole kwake! Mungu ampe faraja na apone haraka.
tramadol said: Mtoto wake anaumwa South Africa hayupo kwenye raha kabisa. Click to expand... pole kwake! Mungu ampe faraja na apone haraka.
Chone Member Jun 5, 2016 81 29 Oct 15, 2017 #24 Hata kule TLP yule jamaa aliyewahi kugombea uraisi sijui kafia wapi anaitwa MTAMWEGA MGAYA
Ufipa-Kinondoni JF-Expert Member Jan 3, 2012 4,582 2,783 Oct 15, 2017 #25 Huyu kamanda wetu lazima tumtafute hata kuulizia ili tumjulie hali. Cannibal OX said: Hata wewe wa Ufipa unamuulizia Mfia Ufipa mwenzako? Kweli nimeamini wamepoteana Click to expand...
Huyu kamanda wetu lazima tumtafute hata kuulizia ili tumjulie hali. Cannibal OX said: Hata wewe wa Ufipa unamuulizia Mfia Ufipa mwenzako? Kweli nimeamini wamepoteana Click to expand...