Mkuu si aliishauza muda mrefu kwa yule mmasai!Mzee anaumwa sana.....inasemekana amepata stroke. Yuko kwake Tegeta, nyuma ya kanisa katoliki panaitwa kwa Marando.
Aisee du jamani pole zake stroke ni shida na Inahitaji ukaribu sana wa huduma kwa mgonjwa na ukarimu plus physiotherapy, dawa na psychotherapy pia.Mzee anaumwa sana.....inasemekana amepata stroke. Yuko kwake Tegeta, nyuma ya kanisa katoliki panaitwa kwa Marando.
Kinana naye wala hasikiki tena....Sisi ukimya huu ni kwanini...hata msemaji wa chama kimya.
Kinana naye wala hasikiki tena....Sisi ukimya huu ni kwanini...hata msemaji wa chama kimya.
anaishi kama shetani hukooMhe. Mabere Marando ni mtu wa siasa na alikuwa anaishi kisiasa siasa.
Wapi kaishia?
Tusimsahau huyu mzee wetu.
Marando pandikizi...! Huhuhuhu..Kamanda Marando amekuwa kimya kabisa kwa muda mrefu sasa toka asikike mara ya mwisho.
Nakumbuka mara ya mwisho nilisikia amepelekwa India kwa matibabu!
Kama bado yuko huko basi Mungu ampe wepesi apone haraka arudi katika majukumu yake.
Du kutoka kwa kina mwkyembe mpka kina malando wanasakamwa siasa mchezo hatariKuna tetesi Alitegeshewa kitu hatari sana kwenye gari,kuna taarifa kwamba kitu hicho kilimuua kabisa dereva wake,kinaua kabisa mishipa ya fahamu,
Kamanda Marando amekuwa kimya kabisa kwa muda mrefu sasa toka asikike mara ya mwisho.
Nakumbuka mara ya mwisho nilisikia amepelekwa India kwa matibabu!
Kama bado yuko huko basi Mungu ampe wepesi apone haraka arudi katika majukumu yake.