brightoscar
JF-Expert Member
- Dec 29, 2013
- 360
- 517
Kwa muda mrefu sasa ndani ya nchi chanjo ya polio imeisha na watoa chanjo hawajui itafika lini.
Tafadhali serikali mimi kama Mtanzania mwenye upendo na kizazi kijacho naomba mjitahidi hii chanjo ifike mapema ni hatari sana kwa watoto wanaozaliwa na kukosa hii chanjo.
Rais wetu wewe ni mama unajua umuhimu wa hili naomba uliweke kwenye kipaumbele chako.
Tafadhali serikali mimi kama Mtanzania mwenye upendo na kizazi kijacho naomba mjitahidi hii chanjo ifike mapema ni hatari sana kwa watoto wanaozaliwa na kukosa hii chanjo.
Rais wetu wewe ni mama unajua umuhimu wa hili naomba uliweke kwenye kipaumbele chako.