Stephano Komba
Member
- Oct 9, 2010
- 13
- 3
Wana JF mimi ni baba wa mtoto mmoja ambae anamiezi minne sasa
na jirani yangu pia anamtoto ambae umri wake unapishana na wangu kwa siku tatu lakini jirani yangu alianza kumnywesha mtoto uji wakati anaumri wa miezi miwili.
mtoto wangu sasa hivi nahisi kama ananjaa sana kwani mara nyingi hunyonya vidole na akishika kitu hukipeleka moja kwa moja mdomoni natamani kumpa uji lakini sipendi kushort cut muda unaohitajika kumpa chakula kingine zaidi ya maziwa ya mama.
Your advice please
na jirani yangu pia anamtoto ambae umri wake unapishana na wangu kwa siku tatu lakini jirani yangu alianza kumnywesha mtoto uji wakati anaumri wa miezi miwili.
mtoto wangu sasa hivi nahisi kama ananjaa sana kwani mara nyingi hunyonya vidole na akishika kitu hukipeleka moja kwa moja mdomoni natamani kumpa uji lakini sipendi kushort cut muda unaohitajika kumpa chakula kingine zaidi ya maziwa ya mama.
Your advice please