Hero
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 3,932
- 2,832
Wapi huko?Sawa inategemea na mtu anawazaje,mimi binafsi huwa sipendi kwenda kuchoreka hospitali. Kuna siku iliwahi kunitokea incidence kama hii ya mtoa mada nikakimbilia pharmacy kujieleza.
Yule mfamasia akakimbia chap hospitali akaongea na rafiki yake akampatia akaja nazo fasta nikampoza elfu 10 nikasepa zangu kimyakimya