Sigara Kali
JF-Expert Member
- May 28, 2017
- 3,623
- 8,428
Salaam wana JF
Hivi kiswahili chetu kinaelekea wapi?
Naona kadri siku zinavyozidi kwenda inaibuka misamiati ya ajabu ajabu hasa kwenye upande wa kiswahili cha kuandikwa
Kuna hili neno "MUDA" naona siku hizi linazidi kupotea miongoni mwa maandiko ya kiswahili badala yake linaandikwa "MDA"
Kibaya zaidi hadi huku JF nyumbani kwa great thinker nako watu wanatumia kiswahili kibovu neno MDA limezagaa kwenye nyuzi nyingi sana
Neno lingine ni hili "TYU" badala ya 'TU' halafu maneno haya yamekaa kutamkwa tamkwa na watoto wa kike sasa wewe Dume zima unapoandika neno MDA au TYU ni dalili za ushoga hizo
OVA
Hivi kiswahili chetu kinaelekea wapi?
Naona kadri siku zinavyozidi kwenda inaibuka misamiati ya ajabu ajabu hasa kwenye upande wa kiswahili cha kuandikwa
Kuna hili neno "MUDA" naona siku hizi linazidi kupotea miongoni mwa maandiko ya kiswahili badala yake linaandikwa "MDA"
Kibaya zaidi hadi huku JF nyumbani kwa great thinker nako watu wanatumia kiswahili kibovu neno MDA limezagaa kwenye nyuzi nyingi sana
Neno lingine ni hili "TYU" badala ya 'TU' halafu maneno haya yamekaa kutamkwa tamkwa na watoto wa kike sasa wewe Dume zima unapoandika neno MDA au TYU ni dalili za ushoga hizo
OVA