Murashani GALACTICO
JF-Expert Member
- Feb 27, 2012
- 2,208
- 4,724
Asa hiyo FL na QNET tofauti zao ni sawa na mbu wa malaria na wa matendo. Woote wanafyonza damu tuu.Sijazungumzia QNET na wala siijui. Ila habari niliyokupa kuhusu mate wangu ni ya kweli na "yupo vizuri" kwa viwango vya Mtanzania wa kati. Kuamini au kutoamini ni juu yako.
Na bado mtapigwa hadi ndala za kuogea. Mtu anakupa trip za kusafiri au gari si UNGESE huu. Mara mia akupe mtaji ujenge au uanzishe biashara.
Mtu niko nae hapa anauza hadi stationary yake na hakuna wateja anaanza kuuza hadi kalamu vifaa vingine kwa hasara ili aende qnet. Muda sio mrefu baba mwenye nyumba anamtimua. Mm namendea TV na SABUFA yake kama sio mke wake.
Pumbafuuu sana qnet, FL, aim global na matakataka kama hayaa.
Watu wamekuwa watumwa kuliko kipindi chochote.
Watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa