Kimboka kichimba
Member
- Nov 27, 2019
- 27
- 18
Ni Mbowe huyuhuyu anayenyanyaswa na DC wa Hai?
Ni Mbowe huyuhuyu aliyewekwa ndani zaidi ya miezi 3 bila dhamana?
Ni Mbowe huyuhuyu aliyevunjiwa Bilcanas na kuharibiwa Mashamba?
Ni Mbowe huyuhuyu anayeshtakiwa kwa mauaji ya Akwilina?
Ni Mbowe huyuhuyu ambaye ameua na kutisha Wapinzani wake na haguswi na dola? Dola hii hii ya CCM inayomnyanyasa imeshindwa kutumia tuhuma zote hizo kummaliza?
Kuamini ya Sumaye na wanaosema Mbowe anawatishia na wengine kusema kampiga risasi Tundu Lissu Ni aidha huna Akili kabisa au unatumiwa na Dola/CCM na hicho ndicho anachothibitisha Sumaye. Finished
Tito ni kijana makini sana katika kundi la vijana wa Chadema. Tito ninayemfahamu ni kijana aliyeasisi Chaso mkoa wa Arusha na kuakikisha Chaso inakuwa na nguvu ndani ya Arusha
Ni kijana aliyeshiriki kukijenga chama kupitia chadema ni msingi katika mikoa ya Arusha,Iringa, Manyara na Dar.
Mhere Mwita ni kijana aliyejipambanua katika ujenzi wa chama mkoa wa Mara na kanda ya Serengeti kwa ujumla, amekuwa kijana imara aliyejitoa bila kuogopa mateso ya dola
Ni Mbowe huyuhuyu aliyewekwa ndani zaidi ya miezi 3 bila dhamana?
Ni Mbowe huyuhuyu aliyevunjiwa Bilcanas na kuharibiwa Mashamba?
Ni Mbowe huyuhuyu anayeshtakiwa kwa mauaji ya Akwilina?
Ni Mbowe huyuhuyu ambaye ameua na kutisha Wapinzani wake na haguswi na dola? Dola hii hii ya CCM inayomnyanyasa imeshindwa kutumia tuhuma zote hizo kummaliza?
Kuamini ya Sumaye na wanaosema Mbowe anawatishia na wengine kusema kampiga risasi Tundu Lissu Ni aidha huna Akili kabisa au unatumiwa na Dola/CCM na hicho ndicho anachothibitisha Sumaye. Finished
Tito ni kijana makini sana katika kundi la vijana wa Chadema. Tito ninayemfahamu ni kijana aliyeasisi Chaso mkoa wa Arusha na kuakikisha Chaso inakuwa na nguvu ndani ya Arusha
Ni kijana aliyeshiriki kukijenga chama kupitia chadema ni msingi katika mikoa ya Arusha,Iringa, Manyara na Dar.
Mhere Mwita ni kijana aliyejipambanua katika ujenzi wa chama mkoa wa Mara na kanda ya Serengeti kwa ujumla, amekuwa kijana imara aliyejitoa bila kuogopa mateso ya dola