jingalao
JF-Expert Member
- Oct 12, 2011
- 35,053
- 28,245
Hili ni swali la kiintelijensia zaidi.
Je kuna mtanzania anayeifikiria Tanzania inatakiwa kuwaje miaka 2000 au zaidi ijayo?
Je tunayo timu yoyote iliyoundwa na kulipwa kwa kazi moja tu yaani kufikiria Tanzania ijayo miaka 2000+ dhidi ya dunia hii?
Kuna mkakati wowote wa namna hii?
Nimefikiria hili kwa kuwa nimeona muda unakimbia sana!
wenzetu wametuzidi kwa miongo kadhaa ..je tunafanyaje kuwazidi kwa miaka mingi ijayo?
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA.
CC: Kiranga
Je kuna mtanzania anayeifikiria Tanzania inatakiwa kuwaje miaka 2000 au zaidi ijayo?
Je tunayo timu yoyote iliyoundwa na kulipwa kwa kazi moja tu yaani kufikiria Tanzania ijayo miaka 2000+ dhidi ya dunia hii?
Kuna mkakati wowote wa namna hii?
Nimefikiria hili kwa kuwa nimeona muda unakimbia sana!
wenzetu wametuzidi kwa miongo kadhaa ..je tunafanyaje kuwazidi kwa miaka mingi ijayo?
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA.
CC: Kiranga