Mindi
JF-Expert Member
- Apr 5, 2008
- 3,523
- 4,991
Kinyume chake, wapinzani wanasubiriwa kwa hamu ccm wampitishe mama Samia awe Mwenyekiti wa ccm ili ajielekeze kufanya mabadiliko katika ushiriki wa vyama vya upinzani katika siasa za Tanzania kwa nguvu zote.Wapinzani wa Tanzania wao huwa wanawaza maslahi yao muda wote. Hivyo hawajali kabisa manufaa ya taifa.
Alifopafariki JPM wao walikuwa wanajua kutatokea mgongano wa kugombea nafasi ya urais hasa wakijua kuwa CCM wasingekubali kuongozwa na mwanamama.
Hivyo wao walitegemea CCM ivurugane na wavunje katiba ili ugomvi mkubwa utokee. Wapate ya kusema na kufuruhaia mtafaruku ukitokea.
Leo hii mambo ni shwari Ccm imeonyesha ukomavu wa kisiasa. Hakuna kilichoharibika na katiba haijavunjwa.
Sasa hivi Dodoma mambo yanakaribia kuiva.Kwa hakika ni mshikamano wa hali ya juu.
Inaonekana wazi mama Samia na vya kunyonga ni mbalimbali. Hataki vya kharamu. Anataka Halal. Hii habari ya ccm kuvuna ushindi kwa uporaji naona ndio mwisho.
Samia ndio chaguo poa hata kwa upinzani. Kwa hiyo rekebisha tafsiri zako