Sawa mkuu, lini utaunga mkono juhudi? Nasikia huko anafanya kazi nzuri!Makalio yako ndio ubongo wako.
naona mnajifariji, poleni lakn, mtazoea tuHawaamini wanachokiona. Siku wakigundua na kuelewa adui yao sio mtu bali chama itakua its too late
Ahaaa, jaduong upo? Tugange yajayo.Wapuuzi wasiojielewa wanapatikana mtaa wa Lumumba. Sukuma gangs mmejisalimisha kwa mama ?!
Magufuli kwishaaaa kabisaaaaMajizi chadema wanasemaje?
Wao hawajui kwamba furaha ya wanaoichukia CCM ilikuja baada ya Kayafa kuleft ze group 😃😃😃 haya mengine tutapambana nayo baadae , penye mema huwa panasifiwa na penye ufaribifu pia panasemwa. Tatizo la baadhi yao especially sukumagang hawataki malaika wao asemwe.Haya unawaza wewe na akili yako. Watu wamefurahi kuepukana na mateso.
Kwani umesikia Lissu mwingine amepigwa risasi? Au Saanane mwingine amapotezwa? Au akina Mbowe wakiwa Segerea?
😆😆😆Mangula yupo msimtegee tena sumu.
Nani ambaye hatakufa maisha hayaMuendelee kushika adabu kwetu sisi mabosi wenu wananchi, mkileta jeuri na kujimwambafai walahi wote mtaendelea kufa mmoja baada ya mwingine kama alivyotoa unabii Godbless Lema!
Ni hivi mama D, ccm tokea enzi za sera za TAKRIMA, kilikuwa chama ambacho ufisadi ni institutional. Sio tu kwa wanachama. Actually tokea walipoondoa AZIMIO LA ARUSHA. Ndio maana serikali ya ccm iliweza kufanya maufisadi makubwa kama kupora nyumba na viwanja vya serikali, tena executor akiwa Magu mwenyewe. Na ndio maana. Ya skendo kama KAGODA, ambapo ccm ilipora Benki Kuu fedha ya kampeni.Wanaofanya ufisadi ni watu ambao ni wanachama na sio chama. Ndio maana fisadi lowasa alistaafishwa CCM akakatwa..... akakimbilia chadema na chadema wakampokea kwa nderemo
Hii ndio CCM babalao na CCM imara
Ni hivi mama D, ccm tokea enzi za sera za TAKRIMA, kilikuwa chama ambacho ufisadi ni institutional. Sio tu kwa wanachama. Actually tokea walipoondoa AZIMIO LA ARUSHA. Ndio maana serikali ya ccm iliweza kufanya maufisadi makubwa kama kupora nyumba na viwanja vya serikali, tena executor akiwa Magu mwenyewe. Na ndio maana. Ya skendo kama KAGODA, ambapo ccm ilipora Benki Kuu fedha ya kampeni.
Lakini hata sera za kupora wapinzani kwa hongo ya fedha na vyeo serikalini, bado ni ufisadi na rushwa za kimfumo. Mpaka wizi wa kura. Upo mama D?
Kwa Bahati njema mafisadi wote walioondoka ccm kwenda chadema, wamerejea nyumbani, maana kule hakuna mboji ya mafisadi. Na ndio maana wanapokewa ccm kwa nderemo, huko ndio NYUMBANI KWAO.Sasa tufanyaje????
Maana mafisadi wakinyimwa vyeo CCM, basi CHADEMA wanawachukua wanawapa vyeo...
Wapi pana afadhali?
Kwa Bahati njema mafisadi wote walioondoka ccm kwenda chadema, wamerejea nyumbani, maana kule hakuna mboji ya mafisadi. Na ndio maana wanapokewa ccm kwa nderemo, huko ndio NYUMBANI KWAO.
Cha kufanya tuwaache watanzania waamue kwa uhuru. Tume ya uchaguzi na polisi wasiingilie uchaguzi. Ccm ikishawekwa kando, ndio itajifunza namna ya kuwa chama cha siasa, na sio chama Dola kama ilivyo sasa
CHADEMA siyo chama tawala. Wanahusika vipi na ufisadi? Ufisadi ni shughuli ya wanaccm mamaa. Kufisidi mali za ummaChadema ni mafisadi wasohaya
Wanajinasibu kuupinga ufisadi halafu wanapokea na kuwasafisha mafisadi na kuwapa dhamana ya uongozi🙄🙄
CHADEMA siyo chama tawala. Wanahusika vipi na ufisadi? Ufisadi ni shughuli ya wanaccm mamaa. Kufisidi mali za ummaChadema ni mafisadi wasohaya
Wanajinasibu kuupinga ufisadi halafu wanapokea na kuwasafisha mafisadi na kuwapa dhamana ya uongozi🙄🙄
Mbona unaongea kinyumenyume MATAGA banaWapinzani wa Tanzania wao huwa wanawaza maslahi yao muda wote. Hivyo hawajali kabisa manufaa ya taifa.
Alifopafariki JPM wao walikuwa wanajua kutatokea mgongano wa kugombea nafasi ya urais hasa wakijua kuwa CCM wasingekubali kuongozwa na mwanamama.
Hivyo wao walitegemea CCM ivurugane na wavunje katiba ili ugomvi mkubwa utokee. Wapate ya kusema na kufuruhaia mtafaruku ukitokea.
Leo hii mambo ni shwari Ccm imeonyesha ukomavu wa kisiasa. Hakuna kilichoharibika na katiba haijavunjwa.
Sasa hivi Dodoma mambo yanakaribia kuiva.Kwa hakika ni mshikamano wa hali ya juu.
Mada ya kibwege sanaWapinzani wa Tanzania wao huwa wanawaza maslahi yao muda wote. Hivyo hawajali kabisa manufaa ya taifa.
Alifopafariki JPM wao walikuwa wanajua kutatokea mgongano wa kugombea nafasi ya urais hasa wakijua kuwa CCM wasingekubali kuongozwa na mwanamama.
Hivyo wao walitegemea CCM ivurugane na wavunje katiba ili ugomvi mkubwa utokee. Wapate ya kusema na kufuruhaia mtafaruku ukitokea.
Leo hii mambo ni shwari Ccm imeonyesha ukomavu wa kisiasa. Hakuna kilichoharibika na katiba haijavunjwa.
Sasa hivi Dodoma mambo yanakaribia kuiva.Kwa hakika ni mshikamano wa hali ya juu.