DocJayGroup
JF-Expert Member
- Jan 17, 2020
- 1,654
- 3,327
Hello JF family,
Kwangu binafsi mradi ulioniumiza sana niliufanya nikiwa na miaka 16 wa kufuga kuku. Nilijenga kibanda nikaanza na kuku wawili. Nikawaendeleza hadi wakafika 25. Nikatumwa na mama sokoni siku moja nikaona kuku bei nafuu sana nikamnunua, lakini kumbe alikuwa mgonjwa. Akaja kuambukiza kuku wote 25 wakafa.
Nilijifunza somo lakini kwa hasara na maumivu makubwa ukizingatia kwetu tulikuwa maskini na baba alishafariki na nilikuwa nategemea sana hao kuku wanisaidie. Mradi ulionifurahisha sana ulipofanikiwa ni ujenzi wa nyumba binafsi na ya biashara.
Mungu ni mwema.
Kwangu binafsi mradi ulioniumiza sana niliufanya nikiwa na miaka 16 wa kufuga kuku. Nilijenga kibanda nikaanza na kuku wawili. Nikawaendeleza hadi wakafika 25. Nikatumwa na mama sokoni siku moja nikaona kuku bei nafuu sana nikamnunua, lakini kumbe alikuwa mgonjwa. Akaja kuambukiza kuku wote 25 wakafa.
Nilijifunza somo lakini kwa hasara na maumivu makubwa ukizingatia kwetu tulikuwa maskini na baba alishafariki na nilikuwa nategemea sana hao kuku wanisaidie. Mradi ulionifurahisha sana ulipofanikiwa ni ujenzi wa nyumba binafsi na ya biashara.
Mungu ni mwema.