Dumas the terrible
JF-Expert Member
- Jan 20, 2021
- 4,072
- 8,235
Kitesa Kwa zamu!
Kwasababu na wewe ni mmoja wao, mnachekesha na kujichimbia mashimo wenyewe. Hakuna mtu mwenye uwezo wa kupambana na m/kiti kama naye anagombea. Na msijisahulishe kuwa itapritiwa form moja tuHii ni sababu kuwa kuna dalili kuwa hata kifo cha hayati JPM kina utata mkubwa.
Mpaka sasa kuna kundi la wanaCcm linalojiona kuwa lipo kwa ajili ya kupinga ufisadi na ukwapuaji wa mali ya umma. Huku kuna kundi ambalo lilifurahia kifo cha hayati JPM likijinasibu kuwa lina mpango wa kupiga madili na kufanikisha mambo yao.
Mvutano huu ndio unaogombea nafasi ya urais kupitia CCM mwaka 2025 huku kundi la hayati JPM likisema kuwa kiongozi wa sasa hafai na anaunga mkono baadhi ya mawaziri mafisadi. Kwa hakika mpaka sasa ni mpasuko mkubwa zaidi ya pasuko la nazi iliyovunjwa.
Nini hatima ya Mzee Mdee iwapo Spika ataondolewa??Hii ni sababu kuwa kuna dalili kuwa hata kifo cha hayati JPM kina utata mkubwa.
Mpaka sasa kuna kundi la wanaCcm linalojiona kuwa lipo kwa ajili ya kupinga ufisadi na ukwapuaji wa mali ya umma. Huku kuna kundi ambalo lilifurahia kifo cha hayati JPM likijinasibu kuwa lina mpango wa kupiga madili na kufanikisha mambo yao.
Mvutano huu ndio unaogombea nafasi ya urais kupitia CCM mwaka 2025 huku kundi la hayati JPM likisema kuwa kiongozi wa sasa hafai na anaunga mkono baadhi ya mawaziri mafisadi. Kwa hakika mpaka sasa ni mpasuko mkubwa zaidi ya pasuko la nazi iliyovunjwa.
Na huku upo mkuu
Ujue nini kwenye kifo cha JPM zaidi ya corona? Acheni ushamba na kudharau corona! Corona haipendi wabishi na wajingaa
Mkweli mkurungwHayo ni kweli kabisa, mshikaji wangu mama yake anacheo sna pale ccm huwa anasema CCM kuna hali mbaya kuna makundi 2 afu sasa yote yana nguvu tatizo ni kwamba moja ndo linanguvu ya m/kiti. Leo tumeona mama alivowaka kapaniki sana. Na kifo cha JPM soon tutajua tuache waendelee farakana kama popcorn
Mbona wewe ujafa na corona kenge wewe.Ujue nini kwenye kifo cha JPM zaidi ya corona? Acheni ushamba na kudharau corona! Corona haipendi wabishi na wajinga