GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,546
- 108,876
Sasa ni Tukio kama la Tatu hivi naliona Mdogo Mtu Paulo anakwenda Kinyume kabisa na taratibu za nchini Malawi hapa nilipo (Kimakazi) lakini Kaka Mtu mwenye Mamlaka yote anakuwa ama kama vile anamnyali (anamuogopa) Mdogo wake Paulo au ili Kumfikishia Ujumbe anakuwa anamfumba sana.
Au sasa Sisi Wakazi wa hapa nchini Malawi tuanze kuamini kuwa huenda Mdogo Mtu Paulo ndiyo yuko juu ya Kaka yake Kasimu katika Safari yao na Meli moja waliyomo? Na sijui ni kwanini Viongozi hawa wa hapa nchini Malawi ' wanadharauliana ' na ' Kuogopana ' mno huku ' wakitishana ' chini kwa chini hadi ' Kufumbiana ' Mafumbo na hawataki Kuiga Uongozi bora, mwema na wa Kiheshima na ' Kidugu ' kabisa unaopatikana kwa mfano katika nchi nzuri kama ya Tanzania.
Huwezi Kuukuta ' Upuuzi ' huu wa hapa nchini Malawi katika nchi kama za Tanzania au Uganda na hata Rwanda. Inasikitisha!
Au sasa Sisi Wakazi wa hapa nchini Malawi tuanze kuamini kuwa huenda Mdogo Mtu Paulo ndiyo yuko juu ya Kaka yake Kasimu katika Safari yao na Meli moja waliyomo? Na sijui ni kwanini Viongozi hawa wa hapa nchini Malawi ' wanadharauliana ' na ' Kuogopana ' mno huku ' wakitishana ' chini kwa chini hadi ' Kufumbiana ' Mafumbo na hawataki Kuiga Uongozi bora, mwema na wa Kiheshima na ' Kidugu ' kabisa unaopatikana kwa mfano katika nchi nzuri kama ya Tanzania.
Huwezi Kuukuta ' Upuuzi ' huu wa hapa nchini Malawi katika nchi kama za Tanzania au Uganda na hata Rwanda. Inasikitisha!