Arushaone
JF-Expert Member
- Mar 31, 2012
- 15,136
- 13,256
I love you all ladies and gentlemen except someone ameingia humu kwa ID kama yangu anayejiita ARUSHA ONE wakati mimi ni ARUSHAONE (pasipo space) kweli sijajua maana yake na nina wasiwasi anaweza akapost ki2 ambacho ni kizuri au kibaya mkadhani ni mimi aidha nikawa banned au hata yeye endapo nitaweka kisichostahili humu. Anyway majina yako mengi ila nawaachia wanajamvi wenzangu. Hata hivyo ngoja nikaweke uzi wake pale juu. Samahani kwa usumbufu, nawapenda na kuheshimu maoni yenu yote.