Ni moderators gani humu JF unaowapenda au kuwachukia???

I love you all ladies and gentlemen except someone ameingia humu kwa ID kama yangu anayejiita ARUSHA ONE wakati mimi ni ARUSHAONE (pasipo space) kweli sijajua maana yake na nina wasiwasi anaweza akapost ki2 ambacho ni kizuri au kibaya mkadhani ni mimi aidha nikawa banned au hata yeye endapo nitaweka kisichostahili humu. Anyway majina yako mengi ila nawaachia wanajamvi wenzangu. Hata hivyo ngoja nikaweke uzi wake pale juu. Samahani kwa usumbufu, nawapenda na kuheshimu maoni yenu yote.
 
I love you all ladies and gentlemen except someone ameingia humu kwa ID kama yangu anayejiita ARUSHA ONE wakati mimi ni ARUSHAONE (pasipo space) kweli sijajua maana yake na nina wasiwasi anaweza akapost ki2 ambacho ni kizuri au kibaya mkadhani ni mimi aidha nikawa banned au hata yeye endapo nitaweka kisichostahili humu. Anyway majina yako mengi ila nawaachia wanajamvi wenzangu. Hata hivyo ngoja nikaweke uzi wake pale juu. Samahani kwa usumbufu, nawapenda na kuheshimu maoni yenu yote.

Lakini hapa mkuu tunaongelea moderators na sio members wa kawaida.
 
Mods ninaowapenda sana ni wawili: Invisible na Buchanan. Sababu za kuwapenda hawa wawili ni moja tu, nayo ni usharp wao wa kuijibu maswali haraka kuhusiana na lolote hapa JF. Uliza lolote eg kwa nini JF ina wapenzi wengi wa Chadema au kwa nini avatar ya Invisible ni nyeusi na mara moja utapata jibu ama kutoka kwa Invisible au Buchanan.Halafu wananipa impression kwamba wanapenda kazi yao. Congrats Inviii and Buchaaa. Hakuna Mod ninayemchukia kwa sbb sina sabb ya kuchukia. Ila nikiri kwamba siwajui baadhi ya Mods. Mods ninaowafahamu ni:
RR,X-paster, Fang, Paw, Painkiller, Rejao, Ni hao tu. Haloo Young Master,niongezee wengine nisiowafahamu!

Allaaah kumbe Rejao ni Mode, sikujua ixee
 
Jamani hata mm nawaogopa na kila nikikanyaga jukwaa la siasa sisalimiki nakimbilia MMJ au M ya Kikubwa
Naona ntaanza kuwajua ntakapowasilisha mchango wangu

Kwa nini unawaogopa? Mbona hawana shida?
 
nampenda Cookie...
namchukia paw,alijifanya mjuaji na mbabe baadae akaja kugundua haifanyi kazi hio tactic yake.....sasa hivi watu wanakuwa banned ila sio kama enzi zake,kila siku lazima aondoke na mmoja jinsi alivyokuwa anapenda sifa
I see...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom