MURUSI
JF-Expert Member
- Jun 25, 2013
- 4,491
- 8,721
Hii vita ya Ufisadii ya JPM ni ya kipekee kabisa na huenda kuliko nchi yoyote ile Duniani kwa ni nini?
1. Vita ya ufisadi huenda sambamba na uhuru wa kutisha wa vyomba vya habari hilo huku halipo kabisa.
2. Vita ya ufisadi huenda sambamba na sheria kali mno za kudili na mafisadi. Huku hilo halipo bali ni one-man show tu.
3. Idara kama za ukaguzi hupewa nguvu za kupitiliza kabisa na hufikia sehemu wao wanakuwa na kitengo kinacho jitegemea kwa kila kitu. Hilo halipo kwenye hii ya Rais Magufuli.
4. Kuna kuwa na uwazi wa kutisha kwenye vita dhidi ya ufisadi hilo huku halipo kabisa. Bunge haliko live na yoyote anaye hoji pesa huitwa sio mzalendo.
5. Kwenye manunuzi ya umma kuna kuwa na uwazi mkubwa sana. Hilo halipo, ndege anachagua mwenyewe wanafanya kumtumia picha na yeye anachagua.
Sasa je, kwenye hii vita Rais Magufuli anatumia model gani?
1. Vita ya ufisadi huenda sambamba na uhuru wa kutisha wa vyomba vya habari hilo huku halipo kabisa.
2. Vita ya ufisadi huenda sambamba na sheria kali mno za kudili na mafisadi. Huku hilo halipo bali ni one-man show tu.
3. Idara kama za ukaguzi hupewa nguvu za kupitiliza kabisa na hufikia sehemu wao wanakuwa na kitengo kinacho jitegemea kwa kila kitu. Hilo halipo kwenye hii ya Rais Magufuli.
4. Kuna kuwa na uwazi wa kutisha kwenye vita dhidi ya ufisadi hilo huku halipo kabisa. Bunge haliko live na yoyote anaye hoji pesa huitwa sio mzalendo.
5. Kwenye manunuzi ya umma kuna kuwa na uwazi mkubwa sana. Hilo halipo, ndege anachagua mwenyewe wanafanya kumtumia picha na yeye anachagua.
Sasa je, kwenye hii vita Rais Magufuli anatumia model gani?