Kuna kila dalili ya Magufuli kushinda uchaguzi mkuu unaokuja mwezi October kutokana na wapinzani wake kukata tamaa, kwa sasa wamebadili mwelekeo na kuanza kulalamika, kila kona wameanza kuonyesha dalili zote za kukata tamaa. Ukifatilia mikutano ya kampeni kwa sasa inayopewa nguvu ni ya Magufuli,wAGOMBEA WENZA,UPANDE WA UPINZANI NDO KIMYA kabisa,wakati CCM Mama Samia anazidi kufika kila kijiji na kitongoji.
mwanza Magufuri alichoma moto nyavu zetu,tukabaki maskini hata watoto wetu wakashindwa kwenda shule,wanashupalia nyavu za kuvulia samaki wanaacha escro,epa,twiga kwenye ndege,ndovu wanaisha sababu msomali,mabehewa feki hivyo hawagusi,mwanza hapati kura,tumejipanga!