Ni mmea hatari umeota kwenye Barabara za jiji ?

cannibus sativa a.k.a brain charger
Mara nyingi huwa tunachanganya baina ya Cannabis Indica (marihuana) na Cannabis Sativa, inagawaje zote zina vijenzi sawa, tafauti ni viwango tu. Huu wa mwisho mbali ya kuwa chanzo cha protini, vile vile una matumizi mengine kama vile utengenezaji wa kamba.
3UrRe5P8LCQAAAABJRU5ErkJggg==

Cannabis Sativa
Mti wake kwa ndani uko hivi:
AJcU034BbtkhAAAAAElFTkSuQmCC

Na hupatikana hii:
mKEi0FrBcoDRKvTuRWc10qdkDDixlF36OcL0cXKrFOMTyW8lS8toxdl8d0wwFD0a8pBDTFgD7t1sUxxI9qbCq5USL+f6PhuYUN4ZcxAAAAAElFTkSuQmCC

Baadhi ya matumizi yake ni:

  • kupunguza mfadhaiko [depression] na kunyanyua ari.
  • kutuliza maumivu ya kichwa na kipandauso [migraines]
  • kutia nguvu mwilini [due to proteins]
  • kuzidisha ubunifu
  • kupunguza kizunguzungu
  • kukupa hamu ya kula
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom