Makiwendo
JF-Expert Member
- Aug 12, 2015
- 9,045
- 30,848
Sipo Mwanza Shogaaa..huko huwa naenda mara moja moja..
Hilo bata nalitamanije Best.
Sipo Mwanza Shogaaa..huko huwa naenda mara moja moja..
SingidaCha msingi kuwepo bangi, bia, mademu, nyama n.k
DuuuhSipo Mwanza Shogaaa..huko huwa naenda mara moja moja..
Hilo bata nalitamanije Best.
Poa poa Best. Likizo njema...Enjoy.Duuuh
Anyway ntakusaka tu hapa mjini ngoja nitoke likizo
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Bila kuipondea Mwanza huwa unajisikiaje, kila siku lazima uiseme Mwanza au watu wake kwa mabaya nashindwa kukuelewa Mwanza ilishakufanya nn?Hakuna greenish yoyote Mwanza ni vimiti miti vya hapa na pale vimeota ota huwezi kuta kama Sumbawanga,Mbeya,Njombe,Arusha,Babati , Morogoro au Dar .Nasisitiza hakuna.
Bila lile ziwa ku neutralize hali ya hewa pangekuwa pabaya tuu kama Shinyanga au Dodoma.
Hasa pale mjiniSingida
Sipondi naongea ukweli ambao wewe hupendi kusikia.Bila kuipondea Mwanza huwa unajisikiaje, kila siku lazima uiseme Mwanza au watu wake kwa mabaya nashindwa kukuelewa Mwanza ilishakufanya nn?
Ukiziona utafuta hii komenti yako haziko vile wwe unafikir, hizi za huku ziko safi lodge za kisasa kabisa. Labda kama umelenga hotels za kuanzia nyota nne lakin lodge hiyo ndo bei ikizid sana ni 15k kwa maeneo ya kati kabisa ya mji.
Mkuu hebu tupia kapichaUkiziona utafuta hii komenti yako haziko vile wwe unafikir, hizi za huku ziko safi lodge za kisasa kabisa. Labda kama umelenga hotels za kuanzia nyota nne lakin lodge hiyo ndo bei ikizid sana ni 15k kwa maeneo ya kati kabisa ya mji.
Hiyo ndo tofauti ya mwanza na sehem zingine vitu vizuri unavipata kwa gharama affordable hatujibani bani huku.
DodomaMkoa wenye bia nyingi na nyama nyingii